WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HPxlxxyUMg0/VP77row25QI/AAAAAAAHJVs/U7wThD17H9U/s72-c/001.DAMU.jpg)
Afisa mtoa damu wa mpango wa Taifa wa Damu Salama, Daudi Mkawa akimtoa damu mfanyakazi wa Vodacom Tanzania,Lizian Mushi.Wakati wafanyakazi wa kampuni hiyo walipojitolea kuchangia damu kwa hiari ili kuokoa maisha ya watanzania wengine uchangiaji huo ulifanyika makao makuu ya vodacom Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Mfanyakazi wa Vodacom Tanzania kitengo cha M-PESA,Gabriel Urasa akiwa amejilaza kwenye kitanda maalum akichangia kwa hiari wakati wa zoezi la kuchangia damu salama ili kuokoa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ6t7FO8pTWDBL-rrkBIDH8nqk3B9c7WMqr00NUnUum4W3MoX7uLsXJITkNm7HIuryXe9x78dUIIaq3ylp4yQNw/002.DAMU.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WACHANGIA DAMU KWA AJILI YA WATANZANIA WENZAO
9 years ago
Michuzi05 Jan
WATANZANIA MSIKUBALI KUTOZWA RUSHWA KWA AJILI YA DAMU, TOA TAARIFA KWA NESI, DAKTARI ATAKAYETOZA DAMU!- DK. KIGWANGALA
![IMG_0681](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0681.jpg)
Afisa Uendeshaji wa Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dar es Salaam, Bw. Abdu Juma akitoa maelezo ya namna wanavyoendesha shughuli zao kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kigwangalla aliyefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi hizo, Januari 4, 2016. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
![IMG_0770](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0770.jpg)
9 years ago
Dewji Blog05 Jan
Watanzania msikubali kutozwa rushwa kwa ajili ya damu, toa taarifa kwa nesi, daktari atakayetoza damu!- Dk. Kigangwalla
Afisa Uendeshaji wa Ofisi za Mpango wa Taifa wa Damu Salama zilizopo jijini Dar es Salaam, Bw. Abdu Juma akitoa maelezo ya namna wanavyoendesha shughuli zao kwa Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.Hamisi Kingwangalla aliyefanya ziara ya kushtukiza katika ofisi hizo, Januari 4, 2016. (Picha na Zainul Mzige wa Modewjiblog).
Na Modewjiblog, Team.
Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza watanzania...
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Wafanyakazi Mgodi wa Bulyankulu wachangia damu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s72-c/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
TPB WACHANGIA DAMU, KUOKOA MAISHA YA WATANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-YU8fmcY_Lh8/VZDqZOemAXI/AAAAAAAAVbk/Bygt7bsSyI4/s640/8p8kpSL9ZloWJj7K5NLK45qXLp0krgVRGyg4wbtY1J8.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xTpnHTuV5KY/Xs044OrwCbI/AAAAAAALrpk/p51iU9kdI_0GRNYrZWrov7yXr_6u3TbgQCLcBGAsYHQ/s72-c/vlcsnap-2020-05-26-17h26m52s195.png)
Wananchi wawajia juu wenzao kwa kuuza eneo la kijiji lililotengwa kwa ajili ya Kilimo na Ufugaji
Wananchi wa vijiji vya kata ya Itulahumba halmashauri ya wilaya ya Wangingombe mkoani Njombe kwa pamoja wamepinga kitendo kinachofanywa na baadhi ya wananchi wenzao kwa kushirikiana na mtendaji wa kijiji hicho kuuza eneo ambalo limetengwa kijijini hapo kwaajili ya ufugaji na kilimo.
Eneo hilo lenye ukubwa wa zaidi ekari 80 ambalo limeanza kukatwa miti na kulimwa bila makubaliano ya kamati za...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-22LYPPBMWDY/Xs9XNcg7-1I/AAAAAAAEHWU/YGDp3mZr8mA6y3wo5ZNLA9AmFR3mUvEBQCLcBGAsYHQ/s72-c/CHZ_6333.jpg)
Asasi ya Vodacom Tanzania Foundation yakabidhi vifaa kwa ajili ya kuwasaidia watoto Njiti, Hospitali ya Muriet jijini Arusha
![](https://1.bp.blogspot.com/-22LYPPBMWDY/Xs9XNcg7-1I/AAAAAAAEHWU/YGDp3mZr8mA6y3wo5ZNLA9AmFR3mUvEBQCLcBGAsYHQ/s640/CHZ_6333.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/1-28-1024x683.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s72-c/001.FUTARI.jpg)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-wqj8hrXmF9w/U8-h4xki3gI/AAAAAAAF5Hw/mArGij37Vh0/s1600/001.FUTARI.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--UnfHiXsA6Y/U8-h5C6WobI/AAAAAAAF5H8/0HbFHYggv5c/s1600/002.FUTARI.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k7Np9G0fN4Nm7SMhYw4-CNX9LNETs4WzkHt7Cusyv31dAjFRnIoS6i605-KuRa390mzcOlArj*0ht*5UaWOS1B8/001.FUTARI.jpg?width=650)
WAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAFUTURU KWA PAMOJA NA WATOTO YATIMA WA MWANDALIWA BUNJU JIJINI DAR