ROSE MUHANDO ADAIWA KUINGIA MITINI NA MILIONI MOJA
![](http://api.ning.com:80/files/U8LSueg-IYpRL*YD2pDOVEn0UVDf*nVyaOfcCa5pfjHacuIa97KsrIlpr-vH1E4tJGPGPka7ThceIGrHvHtoC11jBYFU4ToG/rose.jpg?width=650)
Stori: SHANI RAMADHANI MSANII nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando anadaiwa kuingia mitini na shilingi milioni moja alizolipwa kwa ajili ya kutumbuiza kwenye uzinduzi wa albamu ya Injili ya John Lisu iitwayo Uko Hapa, Jumapili iliyopita. Msanii nyota wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando. Kwa mujibu wa chanzo makini, Rose alimegewa kiasi hicho cha pesa na Kampuni ya Msama… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXalAWcbM7SQ3UaaUMtaJL0yg9bYy7TR6CCcjxUTWRbdW7rcXZ*Ts0yWavJLF14irUs8BFIoCdJ9s7xcHiHpz6hu/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ga2iaGVWnSGU3b2wVvekZxKH4KSSizvFo6NjycZCVtlaBUSgGwn4GVOL56a-6mbLcL1gI*kvLOwgk8s6KnfhRKV0sFqprumG/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUBWIA UNGA!
10 years ago
Bongo Movies19 Aug
MPASUKO Bongo movies! Steve nyerere adaiwa kuingia mitini na hela za maandalizi ya maombi ya wasanii waliofariki
Klabu ya Bongo Movie Unity imedaiwa kuingia kwenye mpasuko mkubwa baada ya baadhi ya viongozi kutangaza kuachia ngazi kwa madai ya kuwa mwenyekiti wao, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amechikichia mtonyo (fedha) mwingi wa klabu kwa masilahi yake
Kwa mujibu wa chanzo makini kilicho ndani ya klabu hiyo, juzikati viongozi wote wa klabu hiyo walikaa kikao kilichoitishwa na katibu wao, William Mtitu ambacho kilikuwa na lengo la kujadili jinsi ya kumwajibisha Steve Nyerere kwa madai hayo.
“Kuna...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s72-c/IMG-20150816-WA0034.jpg)
VIJANA HAWA WALIMU WANATAFUTWA NA WANAFUNZI WAO BAADA YA KUINGIA MITINI NA PESA ZA FIELD
![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s640/IMG-20150816-WA0034.jpg)
Mfano miongon mwa benki zinazodhamini ni World Bank ambapo huwa wanawalipa watu kiasi cha Sh. 25,000/= kwa Mkoa wa Dar es Salaam, na iwapo watasafiri mikoani vijini watalipwa kiasi cha Sh....
9 years ago
Habarileo18 Aug
Rose Muhando matatani
MUIMBAJI maarufu hapa nchini wa nyimbo za Injili, Rose Muhando anatafutwa na waandaaji wa tamasha la Injili wilayani Simanjiro mkoani Manyara kwa madai ya kutoonekana kutumbuiza kama jinsi walivyokubaliana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HjAnC3puPQ0bLZe5X0aAduH2flM7GU2ZYCeWYYI42wLeKwvevOYtkbitj0as1iyA5XtSe9pBfceLfCw06M7--6X6EzL74TcB/Rose20.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO AWEWESEKA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-a-FzCyHE-D4tJWYe28GS7FDXqNQqiIz42Pif3y7bi9H2sA5iJva1tCCypMXf5kdObQIkp-5eDMZBlKs2*sLkcdSd6UoEWPz/rose.jpg)
ROSE MUHANDO MGONJWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/5Y36hMbSNo-d0OUy67UJkQxk*EAKpbyyQ05TptxP6dPBeEzBSIrLdiSx8Yy6oOYxaPPqPRzv54-Y5ZUwabBZAgvgK5ClpyFO/rose.jpg?width=650)
ROSE MUHANDO MBARONI!
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rose Muhando aibuka na ‘Facebook’
MWIMBAJI mahiri wa muziki wa Injili nchini, Rose Muhando, ameibuka na wimbo mpya uitwao ‘Facebook’. Akizungumza na gazeti hili, Muhando alisema ana imani wimbo huo utakuwa kivutio kikubwa kwa jamii,...