Kenyatta: Hatuwezi kuongezea walimu pesa
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesisitiza serikali yake haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai walimu wanaogoma.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: 'Hatuwezi kulipa walimu'
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesisitiza kuwa serikali ya nchi hiyo haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai waalimu
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/Uhuru-Kenyatta-2.jpg?width=650)
RAIS KENYATTA: HATUWEZI KULIPA WALIMU
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. Wakati shule zote za serikali na za binafsi nchini Kenya zikianza kufungwa kuanzia hii leo, rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta akihutubia taifa hilo kwa njia ya televisheni amesisitiza kuwa serikali yake haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai waalimu wanaoendelea na mgomo. Mgomo wa walimu nchini Kenya Ametoa wito kuwa, mgogoro huo utatuliwe kwa amani na kusema kuwa shule zote...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nII-N*HRVI1NCwuXSEReuTLSNzi8cKTeZ-N8gmVBNl7UihI7Fm1JJjr9CD*7OM9dayn6VCyfekaJ*stb2dtvPQiwFsAcMZFM/001.ROSALYNN.jpg?width=650)
NUNUA HISA ZA BENKI TARAJIWA YA WALIMU KUPITIA VODACOM M-PESA SASA
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania Rosalynn Mworia (katikati),akifafanua jambo kwa waandishi wa habari (hawamo pichani) wakati wa kutangaza ushirikiano wa kimkakati na Benki Tarajiwa ya Walimu (Mwalimu Commercial Bank in-formation) kurahisisha ununuaji hisa kupitia huduma ya M-Pesa pamoja na kampuni ya Maxcom Africa kupitia huduma yake ya Maxmalipo, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Ronald...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s72-c/IMG-20150816-WA0034.jpg)
VIJANA HAWA WALIMU WANATAFUTWA NA WANAFUNZI WAO BAADA YA KUINGIA MITINI NA PESA ZA FIELD
![](http://2.bp.blogspot.com/-jYQzPXSOFyM/VdCDpTJ2DeI/AAAAAAAChVg/sOiyQ60BeQc/s640/IMG-20150816-WA0034.jpg)
Mfano miongon mwa benki zinazodhamini ni World Bank ambapo huwa wanawalipa watu kiasi cha Sh. 25,000/= kwa Mkoa wa Dar es Salaam, na iwapo watasafiri mikoani vijini watalipwa kiasi cha Sh....
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s72-c/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
SERIKALI YAAHIDI KUONGEZEA MTAJI BENKI YA TADB
![](https://1.bp.blogspot.com/-X1q5X4fmq0g/XtIDi24Q4RI/AAAAAAAAUsc/268Ld8jXjIkrrRCgGddaDdP6R-iDcqayQCLcBGAsYHQ/s400/73e40645-f6ad-47c6-a792-1c3311d26337.jpg)
Hayo yamesemwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angela Kairuki leo wilayani Manyoni, Singida wakati alipofanya ziara ya kutembelea kiwanda cha kuchakata mbegu za Alizeti cha Qstek.
Akizungumza kiwandani hapo, Waziri Kairuki ameipongeza Benki ya Kilimo kwa namna ambavyo imekua ikiwainua wakulima na wawekezaji...
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/RHrwGmoxFnQ/default.jpg)
Wateja wa Tigo Pesa sasa wanaweza kutuma na kupokea pesa kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN nchini Rwanda
Tigo Tanzania, kampuni inayoongoza kwa ubunifu wa Kidigitali nchini, leo imezindua huduma inayowawezesha watumiaji wote wa Tigo Pesa nchini Tanzania kuweza kutuma na kupokea pesa kupitia simu zao za mkononi kutoka M-PESA ya Kenya, MTN nchini Uganda, Airtel na MTN za nchini Rwanda.
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
Huduma hii ni wazi sasa kwamba inawaunganisha wateja wa Tigo Pesa na mitandao mingine mikubwa ya mawasiliano katika ukanda wa Afrika Mashariki inayotoa huduma za kifedha kupitia simu za mkononi hatua ambayo itakuza...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-f-Upd5MfGxg/UxQESY_ZdzI/AAAAAAAFQrc/PNb4f9SXm0c/s72-c/IMG_2364.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/ke1.jpg)
JK AKUTANA NA UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA MZEE JOMO KENYATTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo Jumatatu October 5, 2015 alipokwenda kwa mapokezi rasmi ya ziara yake pamoja na mazungumzo na hatimaye kuaga Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa na mwenyeji wake Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya kwa Mkuu wa Majeshi ya Kenya Jenerali Samson Mwathete katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Nairobi leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/650FoUqjosboosnqcbwFQzV5SscolYStB76Nx6evOOvSsqJ6z4tR-HsCVfons1E*ZclG0NE-Fe2Tnju*MJIILXPxIhS5wxp1/001.MEZALAUNCH.jpg?width=650)
WATEJA WA VODACOM M-PESA SASA KUTUMA PESA NCHINI KENYA
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza, akiongea na waandishi wa habari wakati wa uzinduzi rasmi wa kutuma na kupokea pesa nchini Kenya kwa njia ya M-PESA. Uzinduzi huo ulifanyika jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Mifumo ya Malipo wa Benki Kuu ya Tanzania, Bernard Dadi (kushoto) na Mkuu wa Kitengo cha Biashara na Maendeleo ya M-Pesa wa Vodacom Tanzania, Isack Nchunda wakimsikiliza jambo Meneja wa Mifumo ya...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
15-February-2025 in Tanzania