RAIS KENYATTA: HATUWEZI KULIPA WALIMU
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. Wakati shule zote za serikali na za binafsi nchini Kenya zikianza kufungwa kuanzia hii leo, rais wa nchi hiyo, Uhuru Kenyatta akihutubia taifa hilo kwa njia ya televisheni amesisitiza kuwa serikali yake haina uwezo wa kulipa nyongeza ya mishahara wanayodai waalimu wanaoendelea na mgomo. Mgomo wa walimu nchini Kenya Ametoa wito kuwa, mgogoro huo utatuliwe kwa amani na kusema kuwa shule zote...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: 'Hatuwezi kulipa walimu'
9 years ago
BBCSwahili21 Sep
Kenyatta: Hatuwezi kuongezea walimu pesa
9 years ago
GPLRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA, AZURU KABURI LA BABA WA TAIFA LA KENYA HAYATI MZEE JOMO KENYATTA
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Serikali yaanza kulipa madeni ya walimu
10 years ago
Habarileo05 Jun
Zatumwa bil 10/- kulipa walimu wapya
SERIKALI imetuma Sh bilioni 10 katika mikoa mbalimbali nchini kwa ajili ya kuwalipa walimu wapya ambao wameripoti kazini mapema mwezi uliopita.
11 years ago
Habarileo21 Jun
Serikali yataja mikakati ya kulipa madeni ya walimu
SERIKALI imeweka bayana mikakati yake ya kukabiliana na deni la walimu, ambao ni sehemu kubwa ya watumishi wake.
11 years ago
Habarileo02 Jan
Serikali yatenga fungu nono kulipa madeni ya walimu
FUNGU nono limetengwa kwa ajili ya walimu wanaodai malimbikizo ya mishahara na masurufu.
10 years ago
MichuziRais Kikwete akutana na Rais Uhuru Kenyatta mjini Windhoek, Alhaj Mwinyi na Mzee Mkapa waungana naye sherehe za kuapishwa rais mpya wa namibia
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake akikutana na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya katika Hoteli ya Safari Court jijini Windhoek Namibia jana.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa pamoja na marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi(kulia) na Benjamin William Mkapa(kushoto) katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Hosea Kutako jijini...