Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanafunzi wamkata panga mwalimu wao

>Wanafunzi wawili wa Shule ya Sekondari ya Kibara, wilayani Bunda  wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Bunda wakikabiliwa na shtaka la kumshambulia na kumjeruhi kwa panga mwalimu mkuu wa shule hiyo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Mwalimu arejesha fedha za wanafunzi

Na Abdallah Amiri, Igunga

MWALIMU wa Shule ya Sekondari Igunga Day, mkoani Tabora, aliyedaiwa kuwachangisha wanafunzi wa kidato cha tatu zaidi ya Sh milioni 2.8 kwa ajili ya kwenda mbuga za wanyama Ngorongoro kujifunza, ameanza kurejesha fedha hizo.

Hatua hiyo imefikia hapo siku chache baada ya gazeti hili kuripoti juu ya mwalimu huyo, Paulo Msabila kukusanya kiasi hicho cha fedha.

Akizungumza na gazeti hili juzi Mkuu wa Shule hiyo, Nelson Edward alisema Mwalimu Msabila alionekana Desemba...

 

10 years ago

Mwananchi

Radi yaua wanafunzi 6 na mwalimu

Watu nane wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa vibaya baada ya kupigwa na radi ambayo chanzo chake kimeelezwa kuwa ni kunyesha kwa mvua kubwa iliyodumu kwa takribani saa tatu katika Manispaa ya Kigoma Ujiji.

 

10 years ago

Habarileo

Wanafunzi wanaonyonyesha wamnyong’onyeza mwalimu

WALIMU wanaofundisha katika shule za sekondari za Halmashauri ya Mji Mpanda mkoani Katavi, wamesema hulazimika kuwaruhusu wanafunzi wa kike ambao tayari ni wazazi kurudi nyumbani wakati wa masomo ili wakanyonyeshe watoto wao wachanga.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanafunzi kortini kwa kumjeruhi mwalimu

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Sekondari Kibara, iliyoko wilayani Bunda, Mara, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Bunda wakikabiliwa na tuhuma za kumshambulia mwalimu mkuu wa shule hiyo na kumjeruhi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwalimu mkuu ashiriki ngono na wanafunzi

Mwalimu mmoja mkuu amekiri kufanya ngono na wavulana wawili wenye umri mdogo.

 

10 years ago

Habarileo

Radi yaua mwalimu, wanafunzi wake 6

Radi.WATU wanane wakiwemo wanafunzi sita wa shule ya msingi Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma wamekufa baada ya kupigwana radi kufuatia mvua kubwa iliyokuwa ikinyesha kuanzia jana asubuhi hadi mchana.

 

11 years ago

Habarileo

Wanafunzi walioua mwalimu jela miaka 6

VIJANA wawili waliokuwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Chemchem wilayani Mkalama katika Mkoa wa Singida, wamehukumiwa kifungo cha miaka sita kila mmoja baada ya Mahakama kuwatia hatiani kwa kosa la mauaji ya mwalimu wao. Mahakama Kuu Kanda ya Dodoma inayoendesha vikao vyake mjini Singida, ilitoa hukumu hiyo jana.

 

10 years ago

Habarileo

Radi yaua mwalimu, wanafunzi sita

WATU saba wakiwamo wanafunzi sita wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyakasanda na Mwalimu wa shule hiyo, Anderson Kibada wamekufa baada ya kupigwa na radi huku watu wengine 11 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule hiyo, Laurence Sesegwa (42) wakijeruhiwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Mwalimu adaiwa kubaka wanafunzi wake wanne

Jeshi la Polisi Mkoa wa Njombe linafanya uchunguzi wa tuhuma za ubakaji wa wanafunzi wanne zinazomkabili mwalimu wa Shule ya Msingi Kimerembe wilayani Ludewa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani