Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia

Wakulima wa mpunga, ngano, chai na mazao mengine wametakiwa kutumia zana za kisasa wakati wa uvunaji badala ya mikono, ili kulinda ubora wa mazao na kuepuka kuyaharibu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Waliokopeshwa zana za kilimo watakiwa kuzitumia kwa umakini.

Na Zacharia Mtigandi,

Manyara.

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji dokta Mary Nagu, amewataka wananchi waliokopeshwa zana mbalimbali za kilimo nchini, kuhakikisha wanaitumia mikopo hiyo kwa umakini ili iweze kuwa chachu ya kuinu hali zao za kiuchumi.

 

Aidha aliwataka kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati kulingana na mikataba waliokubaliana na taasisi zilizowakopesha.

 

Zana za kilimo zilizokopeshwa kwa wingi kwa wakulima nchini msimu wa mwaka...

 

9 years ago

Mwananchi

JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea

Rais Jakaya Kikwete amesema wakulima wanapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutumia mbolea katika kilimo.

 

11 years ago

Habarileo

Wakulima wahimizwa kutumia ardhi kujikwamua

PAMOJA na kuwepo kwa ugonjwa wa mnyauko wa migomba mkoani Kagera wananchi wametakiwa kutumia ardhi kujikwamua kiuchumi.

 

9 years ago

Mwananchi

‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano

Wakulima wa mahindi wameshauriwa kuwa na ushirikiano na maofisa ugani ili kudhibiti magonjwa na kuangamiza wadudu waharibifu katika mashamba yao.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima watakiwa kujiunga na vikundi

Wakulima wilayani Karagwe wametakiwa kujiunga kwenye vikundi ili kunufaika na fursa mbalimbali za kilimo.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachimbaji watakiwa kutumia NSSF

Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Stephen Masele amewataka wachimbaji wadogo kutumia vizuri fursa iliyotolewa na Shirika la Hifadhi ya Jamii (NSSF), kukopa mitaji ili kununua mitambo kuhakikisha wanamiliki uchumi wa nchi.

 

11 years ago

Habarileo

Pemba watakiwa kutumia vyandarua

WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima Igunga watakiwa kutolipiza kisasi

SERIKALI wilayani Igunga, Tabora imewataka wakulima kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu, Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Mkuu wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wakulima watakiwa kujua umuhimu wa simu

WAKULIMA nchini wametakiwa kufahamu umuhimu wa teknolojia ya simu za mkononi katika kilimo na kupewa fursa ya kutoa mawazo yao ili kuongeza tija katika kupambana na janga la njaa. Kauli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani