Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia
Wakulima wa mpunga, ngano, chai na mazao mengine wametakiwa kutumia zana za kisasa wakati wa uvunaji badala ya mikono, ili kulinda ubora wa mazao na kuepuka kuyaharibu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV12 Jan
Waliokopeshwa zana za kilimo watakiwa kuzitumia kwa umakini.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji dokta Mary Nagu, amewataka wananchi waliokopeshwa zana mbalimbali za kilimo nchini, kuhakikisha wanaitumia mikopo hiyo kwa umakini ili iweze kuwa chachu ya kuinu hali zao za kiuchumi.
Aidha aliwataka kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati kulingana na mikataba waliokubaliana na taasisi zilizowakopesha.
Zana za kilimo zilizokopeshwa kwa wingi kwa wakulima nchini msimu wa mwaka...
9 years ago
Mwananchi18 Sep
JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea
11 years ago
Habarileo10 May
Wakulima wahimizwa kutumia ardhi kujikwamua
PAMOJA na kuwepo kwa ugonjwa wa mnyauko wa migomba mkoani Kagera wananchi wametakiwa kutumia ardhi kujikwamua kiuchumi.
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima watakiwa kujiunga na vikundi
11 years ago
Mwananchi08 May
Wachimbaji watakiwa kutumia NSSF
11 years ago
Habarileo09 Aug
Pemba watakiwa kutumia vyandarua
WANANCHI wa Pemba wametakiwa kuendelea kutumia vyandarua, kama njia pekee ya kupambana na malaria na kupunguza vifo vya akinamama na watoto.
11 years ago
Tanzania Daima05 Apr
Wakulima Igunga watakiwa kutolipiza kisasi
SERIKALI wilayani Igunga, Tabora imewataka wakulima kutolipiza kisasi cha mauaji kwa wafugaji waishio wilayani Kishapu, Shinyanga ili vyombo vya dola vifanye kazi yake. Kauli hiyo ilitolewa juzi na Mkuu wa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Mar
Wakulima watakiwa kujua umuhimu wa simu
WAKULIMA nchini wametakiwa kufahamu umuhimu wa teknolojia ya simu za mkononi katika kilimo na kupewa fursa ya kutoa mawazo yao ili kuongeza tija katika kupambana na janga la njaa. Kauli...