Waliokopeshwa zana za kilimo watakiwa kuzitumia kwa umakini.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji dokta Mary Nagu, amewataka wananchi waliokopeshwa zana mbalimbali za kilimo nchini, kuhakikisha wanaitumia mikopo hiyo kwa umakini ili iweze kuwa chachu ya kuinu hali zao za kiuchumi.
Aidha aliwataka kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati kulingana na mikataba waliokubaliana na taasisi zilizowakopesha.
Zana za kilimo zilizokopeshwa kwa wingi kwa wakulima nchini msimu wa mwaka...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia
9 years ago
StarTV11 Nov
Mwinyi azindua kiwanda cha  zana za kilimo, ujenzi
Rais mstaafu wa awamu ya Pili Ally Hassan Mwinyi amezindua kiwanda cha kuuza dhana bora za kilimo na ujenzi zitakazokuwa zinauzwa hapa nchini kwenye Kiwanda cha AVIC-SHANTUI Tanzania Limited kitakachomilikiwa na ndugu na rafiki wa muda mrefu wa Tanzania kutoka China.
Matarajio ya baadaye ya Kiwanda hicho ni kuzalisha bidhaa hapa hapa nchini kwa kutumia chuma kutengeneza dhana mbalimbali za Kilimo pamoja na vifaa vya ujenzi hali itakayochangia kukuza uchumi wa Taifa.
Rais Mwinyi amewataka...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-NuzsL5gMeoo/XnM-qzVuwcI/AAAAAAAC1Qc/Ne8tl4XhRJUvaKA1hhmN64-UELMwIFjhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8051.JPG.jpg)
MAOFISA AFYA MIPAKANI WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NuzsL5gMeoo/XnM-qzVuwcI/AAAAAAAC1Qc/Ne8tl4XhRJUvaKA1hhmN64-UELMwIFjhgCLcBGAsYHQ/s200/IMG_8051.JPG.jpg)
Waziri Ummy ameyasema hayo jana Jumatano Machi 18, katika Mpaka Namanga unaotenganisha Tanzania na Kenya wakati alipokuwa akifanya ukaguzi ukaguzi katika eneo hilo.
Alisema ni muhimu kufanya ukaguzi wa kina zaidi ikiwamo kuhoji wasafiri kabla ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8CAtGU8xphs/VMpcJQmW-MI/AAAAAAAHAOI/onMrqY4AJe0/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
FNB KATIKA MAONESHO YA ZANA ZA KILIMO 'AGRI BUSINESS EAST AFRICA' JIJINI DAR
![](http://1.bp.blogspot.com/-8CAtGU8xphs/VMpcJQmW-MI/AAAAAAAHAOI/onMrqY4AJe0/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
11 years ago
Michuzi18 Jun
10 years ago
Dewji Blog16 Apr
Tahadhari kwa madereva kona za Iyovi ni kali sana, endesha kwa umakini kuepusha ajali
Wewe ni dereva wa basi la abiria ama gari binafsi ?hebu chukua hatua ya kupunguza ajali leo kwa kujihadhari na kona hizi na Iyovi na Kitonga na kona nyingine kali kama hizi nchini kwani maisha yako ni dhamani kubwa na uhai wake bado tunautamani.
Vema kuheshimu alama za barabarani na kuacha mbwembwe uwapo barabarani katika kona kali kama hizi.
Katika kona kama hizi zingatia alama za usalama barabarani usiwe na haraka ya kulipita gari la mbele.
Kulipita gari la ...
11 years ago
Michuzi19 Mar
WARSHA YA UBORESHAJI WA KILIMO CHA APPLES MAKETE KWA MAAFISA KILIMO YAFUNGULIWA
10 years ago
Dewji Blog02 Feb
Watendaji, watumishi wa umma watakiwa kujikita kwenye kilimo cha biashara
Kaimu mkurugenzi mtendaji halmashauri ya Singida, Joseph Sabore, akitoa ufafanuzi wa ajenda zilizokuwa zikiwasilishwa mbele ya kikao cha kawaida cha baraza la madiwani.Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa halmashauri ya Singida, Elia Didha na wa pili kulia ni Mkuu wa wilaya ya Singida, Queen Mlozi na wa kwanza kulia ni katibu CCM wilaya ya Singida.
Na Nathaniel Limu, Singida
KAIMU mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya Singida, Elia Digha, amewahimiza watendaji kujenga utamaduni wa kujishughulisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_0376AA-768x512.jpg)
WAHITIMU WA VYUO VYA KILIMO WATAKIWA KUANZISHA MASHAMBA YA MFANO,KUELIMISHA WAKULIMA
![](https://1.bp.blogspot.com/-581v80rqJhM/XmAKOu0gENI/AAAAAAALhEQ/ozwkAw9gtWUzc3xQG5TKQjUoa2k7KteWACLcBGAsYHQ/s640/IMG_0376AA-768x512.jpg)
Naibu Waziri wa Kilimo Mhe. Omari Mgumba akikagua bidhaa za sola power kutoka kampuni ya Poa Portable Power wakati wa kongamano la vijana lililofanyika Mkoani Arusha katika ukumbi wa Golden Rose hivi karibuni kushoto ni muoneshaji bwana Emanuel Godwin wa kampuni hiyo.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/IMG_0480AA-1024x639.jpg)