MAOFISA AFYA MIPAKANI WATAKIWA KUONGEZA UMAKINI
![](https://1.bp.blogspot.com/-NuzsL5gMeoo/XnM-qzVuwcI/AAAAAAAC1Qc/Ne8tl4XhRJUvaKA1hhmN64-UELMwIFjhgCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_8051.JPG.jpg)
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu, amewataka wataalamu wa afya maeneo ya mipakani kote nchini kuongeza umakini wakati wa ukaguzi kwa wasafiri wanaopita katika maeneo yao na si kupima joto la mwili pekee.
Waziri Ummy ameyasema hayo jana Jumatano Machi 18, katika Mpaka Namanga unaotenganisha Tanzania na Kenya wakati alipokuwa akifanya ukaguzi ukaguzi katika eneo hilo.
Alisema ni muhimu kufanya ukaguzi wa kina zaidi ikiwamo kuhoji wasafiri kabla ya...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-md2zCduM6oM/XkZ02ihDIbI/AAAAAAALdVw/J5EWKIHZQqgIahsQOElcVmHMzJ1q17OXgCLcBGAsYHQ/s72-c/73eec93a-ee4f-41d2-b172-2d1f86e2fff1-1024x683.jpg)
MAOFISA AFYA WATAKIWA KUONGEZA UKAGUZI KWENYE MIPAKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-md2zCduM6oM/XkZ02ihDIbI/AAAAAAALdVw/J5EWKIHZQqgIahsQOElcVmHMzJ1q17OXgCLcBGAsYHQ/s640/73eec93a-ee4f-41d2-b172-2d1f86e2fff1-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/1edb9940-ff94-463f-9f96-82af8300f7bd-1024x683.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/7af2ffe5-ec26-4a4d-ae0e-c9a524ecf489-1024x683.jpg)
10 years ago
StarTV12 Jan
Waliokopeshwa zana za kilimo watakiwa kuzitumia kwa umakini.
Na Zacharia Mtigandi,
Manyara.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji na Uwezeshaji dokta Mary Nagu, amewataka wananchi waliokopeshwa zana mbalimbali za kilimo nchini, kuhakikisha wanaitumia mikopo hiyo kwa umakini ili iweze kuwa chachu ya kuinu hali zao za kiuchumi.
Aidha aliwataka kuhakikisha wanafanya marejesho ya mikopo hiyo kwa wakati kulingana na mikataba waliokubaliana na taasisi zilizowakopesha.
Zana za kilimo zilizokopeshwa kwa wingi kwa wakulima nchini msimu wa mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Maofisa ugani watakiwa kutumia utabiri
MAOFISA ugani nchini wametakiwa kufuatilia utabiri unaotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) na kuwaelimisha wakulima ili waweze kufahamu aina ya mazao yanayopaswa kulimwa kwa wakati unaofaa. Ushauri...
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Maofisa ushirika watakiwa kuisimamia sheria mpya
KAIMU Katibu Tawala mkoani Mtwara, Johansen Bukwali, amewataka maofisa ushirika nchini kuijua vizuri na kuisimamia sheria mpya ya Vyama vya Ushirika namba 6 ya mwaka 2013, kwani vyama hivyo vina...
9 years ago
Mwananchi15 Sep
Maofisa biashara Kusini watakiwa kuacha urasimu
10 years ago
Mtanzania28 Apr
Maofisa serikalini, wadau watakiwa kutoa ushirikiano
Na Adam Mkwepu, Dar es Salaam
JAMII, maofisa wa Serikali na wadau wengine wametakiwa kutoa ushirikiano unaotakiwa kwa kundi jipya la raia wa Marekani walioanza kujitolea hapa nchini.
Hayo yalisemwa hivi karibuni na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dk. Florens Turuka, ambapo alisema kuwa raia hao wa Marekani wanaojitolea wanahitaji kupewa moyo pamoja na msaada wa kiufundi watakaohitaji.
Alisema raia hao “wanatakiwa kusaidiwa kujifunza na kuzoea mila na kujifunza Kiswahili.”
Akizungumzia...
10 years ago
Habarileo18 Aug
Maofisa habari watakiwa kutoa elimu kuhusu DART
WAKALA wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) umetaka maofisa habari na mawasiliano wa taasisi zinazoguswa moja kwa moja na mradi huo, kusaidia kutoa elimu na taarifa sahihi kwa wananchi juu ya uendeshaji na usimamizi wake.
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Watakiwa kuongeza uzalishaji nyuki
11 years ago
MichuziWAKULIMA WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...