Wakulima watakiwa kujua umuhimu wa simu
WAKULIMA nchini wametakiwa kufahamu umuhimu wa teknolojia ya simu za mkononi katika kilimo na kupewa fursa ya kutoa mawazo yao ili kuongeza tija katika kupambana na janga la njaa. Kauli...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima02 Aug
Umuhimu wa simu za mkononi na changamoto zake
KUTOKANA na kuwepo kwa vitendo vya uhalifu kupitia mitandao, wananchi wanapaswa kutoteleza masuala mbalimbali kupitia ujumbe mfupi wa maandishi (sms) kabla ya kuzungumza na mhusika,” anasema Naibu Mkurugenzi, Masuala ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DbrwTSp7ycMiQgKPyCedwa*44ERGLabV8-YsikUnNIaMIm0L*1MG0liCYf0vRL8MreV08MK2lse3caBtEA0glAy442AgCGsh/mahaba.gif?width=650)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO
Nianze kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia kuiona siku hii ya leo. Ni matumaini yangu kwamba msomaji wangu unaendelea vizuri na majukumu yako ya kila siku.
Karibu tena kwenye zulia la mahaba, mahali tunapojuzana, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu suala zima la mapenzi. Leo ningependa kujadili na wewe msomaji wangu mada hii kama inavyojieleza. Je, kuna umuhimu wa wewe kupekua simu ya mwenzi wako? Unapata faida...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ov90wJC7zCyhSELz2U3IY-lgBcZm-EQWXPqIjYP9vTAlDpOAjn8JM*FmJ5IrzIW5Xy7p8tfCxX9ZfWgZpPdReGfiK6H-AAU3/xxlv.jpg)
KUNA UMUHIMU WA KUPEKUA SIMU YA MPENZI WAKO?-2
“Ndugu mwandishi, nakupongeza kwa mada yako nzuri lakini nasikitika kwamba umeandika kwa kuegemea upande mmoja tu. Ni kweli siyo vizuri kupekua simu ya mwenzi wako lakini je, pale unapopekua na kufuma meseji za mapenzi kwenye simu ya mwenzi wako, nani mwenye makosa? Wewe uliyepekua au yeye anayekusaliti?†Nimeamua kuanza kwa staili tofauti leo, huo hapo juu ni ujumbe nilioupata kutoka kwa msomaji wangu mmoja baada ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s72-c/2-39-1024x768.jpg)
WALIMU MKOANI TABORA WATAKIWA KUWAFUNDISHA WANAFUNZI UMUHIMU WA UZALENDO
![](https://1.bp.blogspot.com/-JfmtHWS-3XI/XlDqY5WiPII/AAAAAAALey8/NA4SZZGkgrM_aGdVDS3iyiAul9e_OJSiQCLcBGAsYHQ/s640/2-39-1024x768.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3-38-1024x768.jpg)
Katibu Tawala Mkoa wa Tabora Msalika Makungu akifungua leo mafunzo na maelekezo kuhusiana na uendeshaji wa klabu za maadili kwa walimu wa shule za msingi ,sekondari na vyuo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/4-30-1024x768.jpg)
Baadhi ya walimu wa Shule za Msingi katika Manispaa ya Tabora...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
‘Wakulima watakiwa kutoa ushirikiano
Wakulima wa mahindi wameshauriwa kuwa na ushirikiano na maofisa ugani ili kudhibiti magonjwa na kuangamiza wadudu waharibifu katika mashamba yao.
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Wakulima watakiwa kujiunga na vikundi
Wakulima wilayani Karagwe wametakiwa kujiunga kwenye vikundi ili kunufaika na fursa mbalimbali za kilimo.
11 years ago
MichuziWAKULIMA WATAKIWA KUONGEZA THAMANI YA MAZAO
Na Woinde Shizza,Arusha
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...
Wakulima wametakiwa kutumia fursa ya kuongeza thamani mazao yao ili waweze kunufaika zaidi kiuchumi kuliko kuuza mazao yao yakiwa ghafi kwani watakuwa wanayonywa na kuzidi kuwa masikini.
Wito huo umetolewa jana na Ofisa masoko wa shirika la Farm Africa, Rahel Pazzia, wakati akizungumza na waandishi wa habari, kwenye maonyesho ya wakulima nane nane, kanda ya kanda ya kaskazini yanayoendelea jijini Arusha.
Alisema kupitia Farm Africa wakulima wengi wa ufuta wa mkoa huo...
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Wakulima watakiwa kutumia zana za kuvunia
Wakulima wa mpunga, ngano, chai na mazao mengine wametakiwa kutumia zana za kisasa wakati wa uvunaji badala ya mikono, ili kulinda ubora wa mazao na kuepuka kuyaharibu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania