Wanachama NHIF watakiwa kutumia maduka ya dawa
MFUKO wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umewataka wanachama wake kupata huduma za dawa katika maduka yaliyosajiliwa na mfuko huo pindi wanapozikosa kwenye hospitali au vituo vya afya. NHIF...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili11 Jul
Mashoga wasio na HIV watakiwa kutumia dawa
11 years ago
MichuziPOLISI YAAGIZWA KUSAKA DAWA ZA SERIKALI ZENYE NEMBO YA MSD KATIKA MADUKA YANAYOUZA DAWA BARIDI NCHINI KOTE.
![](http://3.bp.blogspot.com/-EwjUyaEScrY/Ux2DlBq6VaI/AAAAAAAA0Rg/qUnegDdlwak/s1600/01.MSD5.jpg)
11 years ago
Habarileo28 Jan
Maduka 50 ya dawa muhimu yafungwa
MADUKA zaidi ya 50 ya dawa muhimu katika Manispaa ya Dodoma, yamefungwa kutokana na kuendeshwa bila kuzingatia sheria na taratibu huku baadhi yake yakituhumiwa kujihusisha na vitendo vya utoaji mimba. Kufungwa kwa maduka hayo kunafuatia zoezi la kushtukiza la kukagua lililoendeshwa na Baraza la Famasi Nchini kwa kushirikiana na Halmashauri ya Manispaa Dodoma.
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Wenye maduka watakiwa kuacha mgomo
NAIBU wa Waziri wa Fedha na Uchumi, Mwigulu Nchemba amewaagiza wafanyabiashara wafungue maduka wakati muafaka baina ya wizara na Jumuiya ya Wafanyabiara (JWT) ukiendelea na mazungumzo. Akitoa taarifa kwa waandishi...
10 years ago
Mwananchi24 Dec
MSD kufungua maduka ya dawa mitaani
9 years ago
Mtanzania13 Nov
Maduka ya dawa nje ya hospitali kufungwa
CHRISTINA GAULUHANGA NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM
SERIKALI imesema ipo hatua za mwisho kufunga maduka ya dawa yanayozunguka hospitali zake na vituo vya afya ili kupunguza mgongano wa kimasilahi na wizi wa dawa.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Dk. Donald Mmbando, alisema tayari wameandaa utaratibu maalumu na shirikishi wa maduka ya dawa ambayo rasimu hiyo ipo hatua za mwisho na atakabidhiwa Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, atakayeteuliwa kwa ajili ya...
9 years ago
Habarileo13 Nov
Maduka ya dawa karibu na hospitali kuondolewa
SERIKALI imesema ipo katika hatua za mwisho kuanzisha maduka ya dawa katika hospitali zake zisizokuwa nayo na kuweka maduka mapya ya Bohari Kuu ya Dawa (MSD), hatua itakayohakikisha dawa zinapatikana katika hospitali hizo.
10 years ago
Mwananchi20 Jun
Utitiri wa maduka ya dawa tatizo nchini
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Maduka ya dawa karibu na hospitali kutofungwa