Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL yambabua Pinda

  Pinda asema ikithibitika hata yeye haachwi
  Wabunge waja juu, waipinga mahakama
  Wahoji mabilioni kulipa vikao vya harusi
  Wakumbuka Richmond, Operesheni TokomezaMwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa na wabunge ambao waliweka pembeni tofauti za vyama vyao vya siasa na kuungana kupinga vikali njama zinazodaiwa kufanywa na Mahakama ya Tanzania za kuingilia uhuru wa Bunge...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

I’ll table IPTL report, says Pinda

Prime Minister Mr Mizengo Pinda said yesterday he expected to present to Parliament the Controller and Auditor General (CAG)’s report on the Tegeta escrow account scandal immediately he received it.

 

11 years ago

Habarileo

Pinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) pamoja na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) wameagizwa kuchunguza na kujiridhisha kama kweli upo uchotaji wa mabilioni ya shilingi katika akaunti ya Escrow iliyokuwa imefunguliwa ndani ya Benki Kuu (BoT) kwa ajili ya kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL).

 

10 years ago

TheCitizen

Pinda criticises donors’ aid cut over IPTL

Prime Minister Mizengo Pinda has termed “unfair” the decision by 12 key donor countries to suspend $558 million (Sh937 billion) aid in General Budget Support (GBS) for the 2014/15 financial year.

 

10 years ago

Mtanzania

Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

Waziri Mkuu Mizengo Pinda

NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...

 

10 years ago

TheCitizen

Pinda booed as MPs close ranks on IPTL scam

>Prime Minister Mizengo Pinda was booed yesterday in Parliament in an unprecedented reaction by MPs angered by what they saw as brazen attempts to block them from debating the Controller and Auditor General’s report on the Tegeta escrow account scam.

 

11 years ago

TheCitizen

Pinda tries to cool political temperatures as IPTL saga rages

>Prime Minister Mizengo Pinda has spoken for the first time since The Citizen’s exposé of the controversial acquisition of Independent Power Tanzania Limited (IPTL), stepping into the raging debate in an attempt to cool political temperatures in Parliament.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani