IPTL yambabua Pinda
Pinda asema ikithibitika hata yeye haachwi
Wabunge waja juu, waipinga mahakama
Wahoji mabilioni kulipa vikao vya harusi
Wakumbuka Richmond, Operesheni Tokomeza
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda jana alijikuta katika wakati mgumu baada ya kubanwa na wabunge ambao waliweka pembeni tofauti za vyama vyao vya siasa na kuungana kupinga vikali njama zinazodaiwa kufanywa na Mahakama ya Tanzania za kuingilia uhuru wa Bunge...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen07 Nov
I’ll table IPTL report, says Pinda
11 years ago
HabarileoPinda aagiza Takukuru, CAG wachunguze IPTL
10 years ago
TheCitizen23 Oct
Pinda criticises donors’ aid cut over IPTL
10 years ago
Mtanzania23 Oct
Pinda: Kashfa IPTL imetia doa Serikali
![Waziri Mkuu Mizengo Pinda](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/Waziri-Mkuu-Mizengo-Pinda.jpg)
Waziri Mkuu Mizengo Pinda
NA ELIAS MSUYA, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imetiwa doa na kashfa ya IPTL ambapo zaidi ya Sh bilioni 200 zinadaiwa kuchotwa kwenye akaunti maalumu ya ‘Tegeta Escrow’, iliyokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Pinda ambaye yupo jijini London, Uingereza kuhudhuria mkutano wa viongozi wa Afrika na wawekezaji wa Ulaya, aliyasema hayo alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Dira ya Dunia kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Shirika la...
10 years ago
TheCitizen21 Nov
Pinda booed as MPs close ranks on IPTL scam
11 years ago
TheCitizen10 May
Pinda tries to cool political temperatures as IPTL saga rages