Kocha wa Dortmund kubwaga manyanga.
Kocha wa klabu ya soka ya Ujerumani Borrusia Dortmund Jurgen Klopp, atasitisha mkataba wake na timu hiyo mwishoni mwa msimu huu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga
10 years ago
BBCSwahili28 May
Advocaat kubwaga manyanga,Sunderland
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s72-c/IMG_4530.jpg)
MAKATIBU WA CCM VUNJO WATAKA KUBWAGA MANYANGA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-LFlMpSmOZew/VFiv_vt5V-I/AAAAAAACuVo/h6NbULc5Ekc/s1600/IMG_4530.jpg)
Wakizungumza kwa nyakati tofauti, viongozi hao ngazi ya kata katika wilaya ya Moshi vijijini, walisema migogoro na malumbano ndani ya CCM imekuwa chanzo cha wapinzani kushinda kiurahisi katika Jimbo la Vunjo. Mmoja wa viongozi wa...
10 years ago
BBCSwahili15 Apr
Kocha wa Dortmund kuihama kilabu hiyo
10 years ago
Vijimambo17 Apr
BAADA YA KUTANGAZA KUACHIA NGAZI KWA KOCHA BORUSSIA DORTMUND WENGER TUMBO JOTO
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/04/16/11/2798B5F900000578-0-image-m-3_1429179545614.jpg)
JURGEN KLOPP
Jurgen Klopp kocha wa Borussia Dortmund ametangaza kuachia ngazi kuifundisha timu hiyo ya Ujerman, Jurgen mwenye umri wa miaka 47 amekuwa kocha wa Borussia kwa miaka saba na kuiwezesha kutwaa ubigwa wa Bundesliga mara mbili na pia kuiwezesha timu hiyo kuingia fainali za Club bingwa Ulaya mara moja. Jurgen katangaza nia hiyo ya kuachana na timu hiyo baada ya ligi kumalizika na anatamani kufundisha moja ya timu za ligi ya Barclay Premier League na baada ya kusikia hivyo kocha wa...
10 years ago
Tanzania Daima10 Sep
Kikwete abwaga manyanga
HATIMAYE Rais Jakaya Kikwete amekubaliana na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) kwamba Bunge Maalumu la Katiba, liishie Oktoba 4, 2014. Kurejea kwa bunge hilo kutategemea ridhaa ya rais...
11 years ago
Mwananchi09 May
Pluijm abwaga manyanga
9 years ago
Habarileo13 Nov
Matola abwaga manyanga Simba
HALI si shwari ndani ya timu ya soka ya Simba, baada ya jana Kocha Msaidizi Suleiman Matola kujiuzulu wadhifa huo. Matola, kiungo mahiri na nahodha wa zamani wa Simba na timu ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’, alisema jana jijini Dar es Salaam kuwa, amechukua uamuzi huo kutokana na kutokuwa na maelewano na Kocha Mkuu wake raia wa Uingereza, Dylan Kerr.
10 years ago
BBCSwahili13 Aug
Paulo Wanchope abwaga manyanga