Kocha Toto Africans amwaga visingizio
KOCHA Mkuu wa Toto Africans, Martin Grelics, amesema malengo ya klabu yake si kuzifunga Simba, Yanga wala Azam badala yake ni kuhakikisha inaendelea kubaki kwenye ligi ili apate muda wa kukiboresha kikosi hicho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Kocha mpya Toto Africans aanza kazi kwa mikwara
9 years ago
Habarileo06 Nov
Toto Africans yachimba mkwara
KOCHA Msaidizi wa Toto Africans, John Tegete amesema timu hiyo haitakuwa kivuli cha klabu yoyote ile kwenye Ligi Kuu ya Soka ya Tanzania Bara.
9 years ago
Habarileo29 Oct
Kiungo Toto Africans atoa somo
KIUNGO mchezeshaji wa Toto Africans ya Mwanza, Abdallah Seseme, amesema timu hiyo ina uwezo wa kufanya vizuri kwenye ligi ya msimu huu endapo wachezaji wenzake watajitambua.
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
9 years ago
Mwananchi27 Oct
Kocha Toto atangaza kubwaga manyanga
9 years ago
Habarileo31 Aug
Kerr aanza visingizio
KOCHA Mkuu wa timu ya Simba, Dylan Kerr amesema kuwa, kufungwa kwa timu yake na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), mabao 2-0 kunatokana na wachezaji sita kutokuwemo katika kikosi hicho.
10 years ago
Habarileo27 Feb
RC: Hakuna visingizio ujenzi wa maabara
MKUU wa mkoa wa Pwani, Evarist Ndikilo amewataka wakuu wa wilaya mkoani humo kuhakikisha wanakamilisha ujenzi wa maabara za sayansi kwenye kata ifikapo Machi mwaka huu.
10 years ago
Mwananchi23 Aug
Slaa: Rais Kikwete aache visingizio
9 years ago
Mtanzania20 Nov
Mkwasa arudi na kifurushi cha visingizio
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’, Charles Boniface Mkwasa, amerudi na kifurushi cha visingizio, akifichua sababu zilizoiua timu hiyo na kupokea kipigo cha fedheha cha mabao 7-0 dhidi ya Algeria ‘The Desert Foxes’.
Stars ilipokea kipigo hicho kwenye mchezo wa raundi ya pili ya kufuzu Fainali za Kombe la Dunia 2018 nchini Urusi, kilichoifanya kutolewa kwa jumla ya mabao 9-2 kufuatia sare ya 2-2 ya mechi ya awali.
Akizungumza jijini Dar es...