Ivo aibukia Toto African
Aliyekuwa kipa wa Simba SC, Ivo Mapunda ameibukia kwenye mazoezi ya timu ya Toto Africans huku akibainisha kuwa lolote linawezekana kwani kazi yake ni mpira na siyo kingine.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0.
10 years ago
Mwananchi05 May
Migogoro yafukuta Toto African
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Toto African yamsaka kocha Mjerumani
KLABU ya Toto African ya Mwanza inatarajia kumpata kocha mpya kutoka Ujerumani Agosti 2, mwaka huu ambae atakinoa kikosi hicho kwa ajili ya ligi kuu msimu ujao.
Timu ya Toto African iliyopata daraja msimu uliopita kwa sasa inaendelea na mazoezi ikiwa chini ya kocha John Tegete aliyekipandisha kikosi hicho.
Akizungumza na gazeti hili jana, Mwenyekiti wa klabu hiyo Ahmed Waziri Gau alisema kocha huyo atakapowasili mara moja ataanza kuiandaa timu yao.
Gau alisema...
11 years ago
Mwananchi14 Jul
Stand United yanyofoa nyota wa Toto African
10 years ago
Mwananchi17 Feb
Majimaji, Toto African kwa malengo tofauti
9 years ago
Bongo528 Sep
Flora Mvungi amzuia H.Baba kuichezea Toto African
10 years ago
VijimamboTOTO AFRICAN KUFANYA UCHAGUZI MWEZI OKTOBA 2015
Katika barua yake kwa Katibu Mkuu wa Toto African, Katibu Mkuu wa TFF ameuagiza uongozi wa Toto African kuwasiliana na Kamati yao ya Uchaguzi ili tangazo la uchaguzi litolewe si chini ya siku sitini (60) kabla ya tarehe ya kufanyika uchaguzi.
Kwa muda mrefu kumekuwa na mvutano katika klabu ya Toto na suala kubwa likiwa ni kuhusu ujazaji wa...
10 years ago
Mwananchi16 Feb
Yametimia Toto African, Mwadui zapanda Ligi Kuu
9 years ago
Vijimambo
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10