Azam yashinda, Toto yachapwa
Ligi kuu ya Tanzania bara jana iliendelea tena kwa michezo miwili kuchezwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziAZAM FC YAIFUNGA TOTO AFRICAN 5-0
Beki wa Toto African, Salum Chuku (katikati) akichuana na mshambuliaji wa Azam FC, Didier Kavumbagu (wa pili kushoto) wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam jana. Azam ilishinda 5-0.
11 years ago
Mwananchi10 Feb
CAF: Azam yashinda kiduchu
>Azam imeanza vema mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CHAN) baada ya kuichapa Ferroviario kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s72-c/kipre1.jpg)
AZAM FC yashinda bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s1600/kipre1.jpg)
10 years ago
VijimamboNSSF Yashinda Bonanza la Pasaka Zanzibar Mpira wa Miguu Netiboli Yashinda ZSSF
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Stars yachapwa Botswana
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilichapwa mabao 4-2 mbele ya Botswana katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa mjini Gaborone. Stars imeweka kambi nchini Botswana...
10 years ago
BBCSwahili26 Mar
Marekani yachapwa 3 -2 na Denmark
Denmark imeiadhibu Marekani katika mechi ya kimataifa ya kirafiki baada ya kuifunga magoli 3 - 2.
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1
Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RzBtAZHNJs8lU06gKsoJHoDUkx2-zIs4y9qOvdDTPr0xpgFdIKSDR4AuMARcArGhcNRGx2vlKb0m2aOd3cZtoK/taifastarz.jpg)
TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10