TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI
![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RzBtAZHNJs8lU06gKsoJHoDUkx2-zIs4y9qOvdDTPr0xpgFdIKSDR4AuMARcArGhcNRGx2vlKb0m2aOd3cZtoK/taifastarz.jpg)
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s72-c/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
TAIFA STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s640/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k4IAMGx-RtU/VXlqlHyPOGI/AAAAAAAA_lc/9Gry_bUZsLw/s640/Golikipa%2BMwadini%2BAli.jpg)
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
TAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s640/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Stars yachapwa Botswana
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilichapwa mabao 4-2 mbele ya Botswana katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa mjini Gaborone. Stars imeweka kambi nchini Botswana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*JoV1omPzSNl5tmNo329HiDj3etCTUza6qyXHfU*RPqsN5o4GCs488WdjFoYtQg6G9RdicxO7rtoZm67lvmvkng14PGYz26S/SIMBANAMBEYACITY.jpg?width=650)
SIMBA YACHAPWA NA MBEYA CITY TAIFA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0
![](http://4.bp.blogspot.com/-tZLznJimZF0/VVrzzMMWQLI/AAAAAAAHYNE/NV9EyFn19HU/s640/unnamed%2B(16).jpg)
Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.
![](http://1.bp.blogspot.com/-1j--ewyczCo/VVrzyxB0bCI/AAAAAAAHYM8/TGQIjB3UrWE/s640/unnamed%2B(15).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-pFXPux-cO5s/VVrzzL0ND2I/AAAAAAAHYNA/MfUmT8rcUhc/s640/unnamed%2B(17).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s72-c/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS
![](http://2.bp.blogspot.com/-f3jkeDuWU-M/U10mJFyzBBI/AAAAAAAFdgg/EuM-SRGDdWI/s1600/Tanzania-Mart-Nooij-300.jpg)
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Stars kukwaana na Mapharao wa Misri