Stars kukwaana na Mapharao wa Misri
Taifa Stars inajiandaa na mechi ya kufuzu kucheza fainali za kombe la Mataifa barani Afrika za mwaka 2017 .
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9cnbgN4Nz-A/VXLXR7aVD2I/AAAAAAAHcdc/vtGAYjYwWsA/s72-c/unnamed%2B%252892%2529.jpg)
Stars yajidhatiti kuwakabili Misri
![](http://1.bp.blogspot.com/-9cnbgN4Nz-A/VXLXR7aVD2I/AAAAAAAHcdc/vtGAYjYwWsA/s640/unnamed%2B%252892%2529.jpg)
Jana kikosi cha Stars kilifanya mazoezi majira ya saa 9 mchana katika uwanja wa Taifa wa Ethiopia (Addis Ababa) ambao pia unatumiwa na timu yao ya Taifa kwa mazoezi.
Taifa Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa nchini Ethiopia inajiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RzBtAZHNJs8lU06gKsoJHoDUkx2-zIs4y9qOvdDTPr0xpgFdIKSDR4AuMARcArGhcNRGx2vlKb0m2aOd3cZtoK/taifastarz.jpg)
TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...
10 years ago
BBCSwahili07 May
Stars kuchza na Misri, Uganda
Taifa Stars ya Tanzania itacheza mechi yake ya kuwania kufuzu kwa AFCON 2017, dhidi ya Misri.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s72-c/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
TAIFA STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s640/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k4IAMGx-RtU/VXlqlHyPOGI/AAAAAAAA_lc/9Gry_bUZsLw/s640/Golikipa%2BMwadini%2BAli.jpg)
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi...
10 years ago
Mwananchi13 Apr
Tuiandae vyema Stars kuzikabili Nigeria, Misri
Ni wakati mwingine kwa Tanzania kujipanga katika soka baada ya wiki hii Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kutangaza ratiba ya kufuzu kwa fainali za Afrika mwaka 2017 (Afcon) na pia fainali za wachezaji wa ligi za ndani (CHAN) za mwaka 2016, ambako Taifa Stars imepangiwa timu ngumu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania