STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
Msafara wa timu ya Taifa ya Tanzania (taifa Stars) inayodhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro Premium Lager tayari umewasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini Alexandria na kufikia katika hoteli ya Panacea tayari kwa mchezo wake wa kesho.
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
TAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s640/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s72-c/starsprs.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s640/starsprs.png)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s72-c/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
TAIFA STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-4BxbdySSFDo/VXlqfwyBUKI/AAAAAAAA_lU/SnacLGFbYq4/s640/Stars%2Bwakiwa%2Bmazoezini.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
![](http://1.bp.blogspot.com/-k4IAMGx-RtU/VXlqlHyPOGI/AAAAAAAA_lc/9Gry_bUZsLw/s640/Golikipa%2BMwadini%2BAli.jpg)
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s72-c/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
STARS KUWAVAA THE CRANES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s640/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s72-c/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
STARS KUWAVAA MADAGASCAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s640/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
Taifa Stars inahitaji kupata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Madagascar ili kufufua matumaini ya kuweza kusonga mbele katika hatua inayofua ya Robo Fainali.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars akiongelea mchezo wa leo amesema, makosa yaliyojitokeza katika mchezo...
11 years ago
GPLSTARS WAJIFUA KUWAVAA MSUMBIJI
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15
TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...