Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STARS WAJIFUA KUWAVAA MSUMBIJI

Kikosi cha Taifa Stars kikifanya mazoezi kwenye Viwanja vya Gymkhan jijini Dar es Salaam jana jioni kujiandaa na mechi ya kufuzu kucheza Fainali za Kombe la Mataifa Afrika dhidi ya Msumbuji. Kocha msaidizi wa Stars, Patrick Mwangata (kulia)…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

STARS KUWAVAA THE CRANES

Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager leo majira ya saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda 'The Cranes'.
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...

 

10 years ago

Michuzi

STARS KUWAVAA MADAGASCAR LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo inashuka dimbani kucheza mchezo wake wa pili dhidi ya timu ya Taifa kutoka Madagascar, mchezo utakaochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng majira ya saa 12 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Taifa Stars inahitaji kupata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Madagascar ili kufufua matumaini ya kuweza kusonga mbele katika hatua inayofua ya Robo Fainali.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars akiongelea mchezo wa leo amesema, makosa yaliyojitokeza katika mchezo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15

TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...

 

10 years ago

Michuzi

STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO

Msafara wa timu ya Taifa ya Tanzania (taifa Stars) inayodhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro Premium Lager tayari umewasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini Alexandria na kufikia katika hoteli ya Panacea tayari kwa mchezo wake wa kesho.
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa  na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...

 

9 years ago

Michuzi

MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO

Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, Charles Mkwasa (pichani) amesema kikosi chake kipo tayari kwa mchezo wa kesho dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017.Akiongea na waandishi wa habari leo katika ukumbi wa mikutano wa TFF uliopo Karume, Mkwasa amesema vijana wake wapo katika hali nzuri kuelekea kwenye mchezo huo wa kesho ambao ni muhimu kwa Taifa Stars.“Tumefanya mazoezi kwa takribani siku kumi,...

 

10 years ago

Vijimambo

TAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO

Msafara wa timu ya Taifa ya Tanzania (taifa Stars) inayodhaminiwa na kampuni ya bia ya Kilimanjaro Premium Lager tayari umewasili salama katika eneo la Borg El Arab jijini Alexandria na kufikia katika hoteli ya Panacea tayari kwa mchezo wake wa kesho.
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa  na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars kutua Msumbiji leo

MSAFARA wa timu ya soka ya Tanzania, Taifa Stars unatarajiwa kuondoka leo jioni Afrika Kusini kwenda Msumbiji tayari kwa mechi ya keshokutwa kuwania tiketi ya kuingia kundi F, kupigania nafasi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ni tiketi za elektroniki Stars vs Msumbiji

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limetangaza kuwa mashabiki watakaotaka kuliona pambano baina ya timu ya taifa, Taifa Stars na Msumbiji ‘Mambaz’, watalazimika kununua tiketi za kielektroniki kupitia Kampuni ya Max...

 

11 years ago

Mwananchi

Taifa Stars yaikamia Msumbiji

Kocha wa Taifa Stars, Mart Nooij na wachezaji wake wameahidi ushindi wa kishindo kesho dhidi ya  Msumbiji huku wakiwataka Watanzania kufika kwa wingi uwanjani kutoa sapoti.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani