STARS KUWAVAA THE CRANES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s72-c/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager leo majira ya saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda 'The Cranes'.
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-pvfPk8EX4_Q/VZU7t_ahhgI/AAAAAAAHmbE/SASKXFySLrQ/s72-c/Kocha%2Bmkuu%2Bwa%2BTaifa%2BStars%252C%2BCharles%2BMkwasa%2B%2528katikati%2529%2Bakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari%2Bleo.jpg)
STARS YAWAFUATA THE CRANES
![](http://3.bp.blogspot.com/-pvfPk8EX4_Q/VZU7t_ahhgI/AAAAAAAHmbE/SASKXFySLrQ/s640/Kocha%2Bmkuu%2Bwa%2BTaifa%2BStars%252C%2BCharles%2BMkwasa%2B%2528katikati%2529%2Bakiongea%2Bna%2Bwaandishi%2Bwa%2Bhabari%2Bleo.jpg)
Kikosi cha Taifa Stars kinaondoka kikiwa na wachezaji 20, bechi la ufundi 7, pamoja na viongozi kwa shirika la ndege la Rwanda (Rwada Airi) ambapo wanatarajiwa kuwasili uwanja wa Entebe majira ya saa 3 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na Kati.
Mchezo wa jumamosi ni wa...
11 years ago
TheCitizen15 Jun
Stars line up Cranes warm-up
11 years ago
GPLSTARS WAJIFUA KUWAVAA MSUMBIJI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s72-c/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
STARS KUWAVAA MADAGASCAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s640/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
Taifa Stars inahitaji kupata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Madagascar ili kufufua matumaini ya kuweza kusonga mbele katika hatua inayofua ya Robo Fainali.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars akiongelea mchezo wa leo amesema, makosa yaliyojitokeza katika mchezo...
10 years ago
BBCSwahili07 May
The Cranes kuinyatia Taifa Stars CHAN
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15
TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...
9 years ago
TheCitizen24 Nov
Stars eye Rwanda fall as Z'bar face cranes hurdle
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s72-c/starsprs.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s640/starsprs.png)