Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars line up Cranes warm-up

The national soccer team, Taifa Stars, will take on The Cranes of Uganda early next month ahead of their 2015 Africa Cup of Nations qualifier against Mozambique’s Mambas.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

TheCitizen

Stars line up Malawi warm-up

>Taifa Stars stand-in coach, Salum Madadi, can’t wait to lead the national soccer team out against The Flames of Malawi and Burundi’s Intamba Mu Rugamba later this month.

 

11 years ago

TheCitizen

Stars line up Brave Warriors for Afcon warm-up

>The Tanzania Football Federation (TFF) has secured an international friendly match for the national soccer team, Taifa Stars, against Brave Warriors of Namibia early March.

 

10 years ago

Michuzi

STARS YAWAFUATA THE CRANES

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager inaondoka nchini leo jioni kuelekea Kampala - Uganda kwa ajili ya mchezo wake wa marudiano dhidi ya The Cranes siku ya jumamosi.
Kikosi cha Taifa Stars kinaondoka kikiwa na wachezaji 20, bechi la ufundi 7, pamoja na viongozi kwa shirika la ndege la Rwanda (Rwada Airi) ambapo wanatarajiwa kuwasili uwanja wa Entebe majira ya saa 3 usiku kwa saa za Afrika Mashariki na Kati.
Mchezo wa jumamosi ni wa...

 

10 years ago

Vijimambo

STARS KUWAVAA THE CRANES

Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premieum Lager leo majira ya saa 10 kamili kwa saa za Afrika Mashariki itashuka dimba la Nakivubo kucheza na wenyeji Uganda 'The Cranes'.
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...

 

10 years ago

BBCSwahili

The Cranes kuinyatia Taifa Stars CHAN

The Cranes itatumia mwaliko wa Rwanda kujiandaa na mechi ya wachezaji wa ndani dhidi ya Tanzania

 

9 years ago

TheCitizen

Stars eye Rwanda fall as Z'bar face cranes hurdle

The Mainland soccer team, Kilimanjaro Stars, face their first tough test when they square up against Rwanda in a group A match of the 2015 Cefaca Challenge Cup in Awassa, Ethiopia today.

 

10 years ago

Michuzi

TAIFA STARS YATOKA SARE YA 1-1 NA UGANDA CRANES JIJINI KAMPALA LEO

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars)  imetoka sare ya bao 1- 1 dhidi ya wenyeji Uganda (The Cranes) katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2017 nchini Rwanda uliofanyika uwanja wa Nakivubo.Stars ambayo leo imeonekana kubadilika katika mchezo wa leo, ilicheza soka la kuvutia tangu mwanzo mpaka mwisho wa mchezo hali iliyowaduwaza wenyeji Uganda.Mpaka dakika 45 za mchezo za kipindi cha kwanza zinamalizika, Uganda 0 - 0 Tanzania. Kipindi cha pili kilianza kwa Stars kufanya...

 

9 years ago

TheCitizen

Stars to camp in SA, line up Bafana friendly

Taifa Stars are expected to pitch a training camp in South Africa to fine-tune their skills ahead of the second round of the 2018 World Cup qualifiers against one of Africa’s powerhouses, Algeria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani