STARS KUWAVAA MADAGASCAR LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-8oGUtsVtqpo/VVxKquMuxnI/AAAAAAAHYa4/iea10VvIfeM/s72-c/unnamed%2B%252816%2529%2Bcopy.jpg)
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) leo inashuka dimbani kucheza mchezo wake wa pili dhidi ya timu ya Taifa kutoka Madagascar, mchezo utakaochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng majira ya saa 12 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Taifa Stars inahitaji kupata ushindi katika mchezo wa leo dhidi ya Madagascar ili kufufua matumaini ya kuweza kusonga mbele katika hatua inayofua ya Robo Fainali.
Kocha Mkuu wa Taifa Stars akiongelea mchezo wa leo amesema, makosa yaliyojitokeza katika mchezo...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s72-c/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
STARS KUWAVAA THE CRANES
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ydj2omo1uQI/VZe1_OUUwZI/AAAAAAABcqg/yvMjuhIWcxs/s640/thumb_IMG_2870_1024.jpg)
Mecho hiyo ya kesho ni mchez wa marudiano kuwania kufuzu kwa fainali za CHAN mwaka 2016 zitakazofanyika mapema mwezi Januari nchini Rwanda, mgeni rasmi atakua Rais wa Uganda Yoweri Mseveni.
Kikosi cha Taifa Stars chini ya kocha wake mkuu Charles Mkwasa, kiliwasili jijini Kampala jana usiku na kimefikia...
11 years ago
GPLSTARS WAJIFUA KUWAVAA MSUMBIJI
11 years ago
Tanzania Daima22 Jan
Twiga Stars kuwavaa Zambia Feb. 15
TIMU ya taifa ya wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’, inatarajia kushuka dimbani kuivaa Zambia Februari 15, katika mechi ya kwanza ya raundi ya kwanza ya michuano ya mchujo ya Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s72-c/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-HdW1F5_BmSc/VXxBcURY2TI/AAAAAAAHfPE/-wSYLUgonVo/s640/unnamed%2B%252829%2529.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani masaa...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s72-c/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
TAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-Z3ueM5vh5g4/VXwoT3IPEgI/AAAAAAABbpY/n7LIGWksRxE/s640/Picha%2Bya%2BPg.24.jpg)
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s72-c/starsprs.png)
MKWASA ASEMA STARS IPO TAYARI KUWAVAA NIGERIA KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-7r9KKWszjq8/Vem2FkN36QI/AAAAAAAH2Y8/FDChBD3Gfy4/s640/starsprs.png)
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Simba, Azam kuwavaa Waganda Amaan leo
10 years ago
VijimamboSTARS YAPOTEZA MCHEZO WA PILI BAADA YA KUPATA KICHAPO CHA BAO 2-0 KUTOKA KWA MADAGASCAR
Katika mchezo huo wa jana, Taifa...
11 years ago
GPLMAZOEZI YA MWISHO YA YANGA KABLA YA KUWAVAA AL AHLY LEO SAA 2 USIKU