MAZOEZI YA MWISHO YA YANGA KABLA YA KUWAVAA AL AHLY LEO SAA 2 USIKU
Wawakilishi pekee wa Tanzania kwenye mashindano ya Klabu Bingwa Barani Afrika Young Africans Sports Club wakifanya mazoezi ya mwisho katika Uwanja wa El Max Haras El Hodod jijini Alexandria tayari kwa mchezo marudiano kati ya mabingwa watetezi Al Ahly leo saa 2 usiku. (PICHA NA SALEH ALLY / GPL,…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](https://lh6.googleusercontent.com/-mTXT0xOhci8/VGDfO4miksI/AAAAAAAARaM/pTxVsGEMjPQ/s72-c/blogger-image-91157457.jpg)
MWISHO WA TICKET ZA BEI NAFUU YA $75 LEO USIKU SAA TANO @11:59 PM
![](https://lh6.googleusercontent.com/-mTXT0xOhci8/VGDfO4miksI/AAAAAAAARaM/pTxVsGEMjPQ/s640/blogger-image-91157457.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s72-c/delux%2Bcoach3.jpg)
TRENI YA DELUXE ILIYOPANGWA KUONDOKA LEO SAA 2 USIKU IMEAHIRISHWA HADI KESHO JUMATATU SAA MBILI USIKU!
![](http://2.bp.blogspot.com/-qadiquVwhYY/VWrkIp7Rr1I/AAAAAAAHa8M/fE6HHsFtj1w/s640/delux%2Bcoach3.jpg)
TAARIFA HIYO IMEELEZA KUWA SABABU ZA KUAHIRISHWA SAFARI HIYO NI AJALI YA TRENI YA MIZIGO ILIYOTOKEA JANA SAA 2 USIKU KATIKA STESHENI YA SARANDA AMBAPO MABEHEWA 4 YAMEPINDUKA ! TAYARI WAHANDISI NA MAFUNDI WA TRL WANAELEKEA ENEO LA KWA KAZI YA KUYAINUA NA PIA KUKARABATI NJIA!
ATAYESOMA TAARIFA HII...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s72-c/I_HEART_BK_2_1.jpg)
filamu ya "I SHOT BI KIDUDE" ya mwisho itakayoonyeshwa tamasha la ZIFF usiku wa Jumapili Julai 26 Saa 1:15 NGOME KONGWE, ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-a-ysu2GiLvs/Va1PXNOzbkI/AAAAAAAHqq8/FS2ZnX426XU/s320/I_HEART_BK_2_1.jpg)
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga wasajili nyota wawili …
Uongozi wa klabu ya Dar Es Salaam Young African usiku wa December 15 tukiwa tunaelekea kufunga dirisha la usajili imetangaza kukamilisha usajili wa nyota wawili. Yanga ambao walithibitisha kumtema mchezaji wa kimataifa wa Brazil aliyekuwa anakipiga katika klabu hiyo Andry Coutinho wametangaza kusajili wachezaji wawili. Yanga wamethibtisha kumsajili aliyekuwa mshambuliaji wa Mbeya City na baadae Mwadui FC Paul […]
The post Saa kadhaa kabla ya dirisha dogo la usajili halijafungwa, Yanga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEDtMn6jIVoQ-x4k6vZ-mDdslj5MKgfcmqCy4tO6g1lXjE13voH9quPmBBLHxOB5Hj8eIXXtrTUUUG-77Sm14tR/man_vs._chelsea.png?width=650)
11 years ago
Tanzania Daima01 Mar
YANGA VS AL AHLY: Hatumwi mtoto dukani leo
WAWAKILISHI pekee wa Tanzania katika michuano ya klabu barani Afrika, Yanga, leo wanashuka Dimba la Taifa jijini Dar es Salaam kuumana na mabingwa watetezi wa Ligi ya Mabingwa, Al Ahly...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVlflAQ1pYVjf2Nko1M9-FT-omgGdD1js-cclS*XFWUYrpdS4CaEhKoZLEwW0fDFXJRIyKkepwN1dYpHEL4tpA3D/KOMBELADUNIA.jpg?width=750)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-sWCCJH4F-S8/VaEwm588SfI/AAAAAAAAhBQ/Kbcryg1jeBY/s72-c/1.jpg)
MKUTANO MKUU WA CCM KUFANYIKA LEO SAA TATU USIKU
![](http://3.bp.blogspot.com/-sWCCJH4F-S8/VaEwm588SfI/AAAAAAAAhBQ/Kbcryg1jeBY/s640/1.jpg)
9 years ago
MichuziWATUMIAJI WA MITANDAO VIBAYA SHERIA KUWADHIBITI KUANZA LEO SAA 6:00 USIKU.
Na Magreth Kinabo SHERIA mpya ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015 na Sheria ya Miamala ya Kielektroniki ya mwaka 2015 zitaanza kutumika rasmi kesho Septemba Mosi mwaka huu, hivyo watumiaji na watoa huduma waaswa kuzingatia sheria hizi ili kuepuka mkondo wa sheria.
Kauli hiyo imetolewa leo na...