Stars yajidhatiti kuwakabili Misri
![](http://1.bp.blogspot.com/-9cnbgN4Nz-A/VXLXR7aVD2I/AAAAAAAHcdc/vtGAYjYwWsA/s72-c/unnamed%2B%252892%2529.jpg)
Kikosi cha timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro, leo kimeendelea na mazoezi asubuhi na jioni katika uwanja wa Benki ya Biashara ya Ethiopia kujiandaa na mchezo dhidi ya Misri.
Jana kikosi cha Stars kilifanya mazoezi majira ya saa 9 mchana katika uwanja wa Taifa wa Ethiopia (Addis Ababa) ambao pia unatumiwa na timu yao ya Taifa kwa mazoezi.
Taifa Stars ambayo imeweka kambi jijini Addis Ababa nchini Ethiopia inajiandaa na mchezo wa kuwania kufuzu kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vVI8aoSE2Ac/VYPbDdScSpI/AAAAAAAHhV4/IkyBEZvQFVw/s72-c/taifa-stars-2.jpg)
STARS KUWAKABILI UGANDA KESHO ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVI8aoSE2Ac/VYPbDdScSpI/AAAAAAAHhV4/IkyBEZvQFVw/s320/taifa-stars-2.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 100TAREHE 19 JUNI, 2015TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kesho inatarajiwa kushuka dimbani kucheza na timu ya Taifa ya Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainaili za wachezaji wa ndani CHAN 2016.
Kikosi cha Taifa Stars kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa Amani kisiwani Zanzibar kujiandaa na mchezo huo utakaopigwa kuanzia majira a saa 2 usiku kwa saa za Afrika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwnFGVLEFXw/VVkOz_K0OBI/AAAAAAAHX1I/68FBFjtnPpM/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQCz2EQNRTM/VVkO1MvBzMI/AAAAAAAHX1M/KmOeszJ7oc4/s640/unnamed%2B(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s72-c/STARS2.jpg)
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s1600/STARS2.jpg)
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...
10 years ago
VijimamboTAIFA STARS YAWASILI ZANZIBAR TAYARI KUWAKABILI WAGANDA JUMAMOSI
10 years ago
BBCSwahili27 Apr
Stars kukwaana na Mapharao wa Misri
10 years ago
BBCSwahili07 May
Stars kuchza na Misri, Uganda
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s72-c/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
STARS KUWAFUATA MISRI KESHO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnhfKoRwY8Y/VXmODyGVTUI/AAAAAAAHers/tB6q3UDP_5s/s640/unnamed%2B%252827%2529.jpg)
Stars ambayo imeweka kambi ya mazoezi takribani kwa wiki moja sasa jijini Addis Ababa leo imeendelea na raiba yake ya mazoezi katika uwanja wa Taifa, amabpo leo imefanya mazoezi yake asububuhi tu.
Kocha mkuu wa Taifa Stars Mart Nooij amesema, anashukuru maendeleo ya kambi ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RzBtAZHNJs8lU06gKsoJHoDUkx2-zIs4y9qOvdDTPr0xpgFdIKSDR4AuMARcArGhcNRGx2vlKb0m2aOd3cZtoK/taifastarz.jpg)
TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI