TAIFA STARS YAWASILI ZANZIBAR TAYARI KUWAKABILI WAGANDA JUMAMOSI
Kocha wa Timu ya Taifa Stars alipowasili bandarini Zanzibar pamoja na Timu ya taifa Taifa Stars
Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars walipowasili bandarini Zanzibar wakisubiri usafiri kuwapeleka hotelini
Wachezaji wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars wakiwasili visiwani Zanzibar leo tayari kwa mchezo dhidi ya Uganda Jumamosi Uwanja wa Amaan, kuwania kufuzu Fainali za Ubingwa wa Mataifa ya Afrika (CHAN), michuano inayoshirikisha wachezaji wanaocheza ligi za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s72-c/STARS2.jpg)
TAIFA STARS TAYARI KUWAKABILI MALAWI KESHO CCM KIRUMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-aZGS82WweKg/VRbDA7m3DWI/AAAAAAAHN10/BUUnZ6wm0v4/s1600/STARS2.jpg)
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa bei za sh. 5,000 kwa mzunguko, sh. 12,000 kwa jukwaa kuu na sh.20,000 kwa viti vya jukwaa kuu maalum. Taifa Stars inashika nafasi ya 100 katika...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s72-c/unnamed%2B(7).jpg)
Taifa Stars yaendelea kujifua tayari kwa kuwakabili Swaziland
![](http://4.bp.blogspot.com/-C-Gw1ZI5QzA/VVkO02PtNqI/AAAAAAAHX1U/xa9fZIRjY9E/s640/unnamed%2B(7).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-XwnFGVLEFXw/VVkOz_K0OBI/AAAAAAAHX1I/68FBFjtnPpM/s640/unnamed%2B(8).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FQCz2EQNRTM/VVkO1MvBzMI/AAAAAAAHX1M/KmOeszJ7oc4/s640/unnamed%2B(9).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s72-c/TanzaniaFootballFederation.jpg)
MALAWI YAWASILI NCHINI TAYARI KWA MTANANGE DHIDI YA STARS, KIINGILIO NI BUKU 5 TU !
![](http://4.bp.blogspot.com/-agcl3_HC79M/U2TI1UEeUTI/AAAAAAAFfC8/ginnu06m964/s1600/TanzaniaFootballFederation.jpg)
Flames ikiwa na msafara wa watu 31 imewasili jana (Mei 1 mwaka huu) saa 1 jioni kwa njia ya barabara, na imefikia hoteli ya Manyanya. Nayo Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ipo jijini Mbeya tangu Aprili 27 mwaka huu kujiandaa kwa mechi hiyo.
Kiingilio katika mechi hiyo kitakuwa sh....
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-STGCl01gOGQ/VVSjPyhMmcI/AAAAAAAHXS4/Ry6WraKReBc/s72-c/unnamed%2B(78).jpg)
TAIFA STARS YAWASILI RUSTENBURG
![](http://2.bp.blogspot.com/-STGCl01gOGQ/VVSjPyhMmcI/AAAAAAAHXS4/Ry6WraKReBc/s640/unnamed%2B(78).jpg)
Taifa Stars ambayo iliondoka jana joni jijini Dar es salaam jijini Dar es salaam na kufika OR Tambo saa 5 usiku, ilipata mapokezi mazuri kutoka kwa waandaji wa michuano ya COSAFA pamoja na watanzania wanaoishi jijini humo, ililala katika hoteli ya Southern Sun.
Safari ya kutoka Johannesburg kuelekea...
9 years ago
Michuzi09 Oct
TAIFA STARS YAWASILI BLANTYRE
![](http://tff.or.tz/images/blantyre.png)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2ciM3i*PBJuZMv47qrEq*pOEGXBWvBYN-V5Yb4xHStedpJE9oU*AXX95xci4oDBPV2NbKKBRKeqp6dgU5Kj9dx/burundi.jpg?width=650)
BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vVI8aoSE2Ac/VYPbDdScSpI/AAAAAAAHhV4/IkyBEZvQFVw/s72-c/taifa-stars-2.jpg)
STARS KUWAKABILI UGANDA KESHO ZANZIBAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-vVI8aoSE2Ac/VYPbDdScSpI/AAAAAAAHhV4/IkyBEZvQFVw/s320/taifa-stars-2.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI - RELEASE NO. 100TAREHE 19 JUNI, 2015TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, kesho inatarajiwa kushuka dimbani kucheza na timu ya Taifa ya Uganda katika mchezo wa kuwania kufuzu kwa fainaili za wachezaji wa ndani CHAN 2016.
Kikosi cha Taifa Stars kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa Amani kisiwani Zanzibar kujiandaa na mchezo huo utakaopigwa kuanzia majira a saa 2 usiku kwa saa za Afrika...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-OIifDRk-tAk/U9o1jXE55JI/AAAAAAAF8BM/-_zQWOSNRVI/s72-c/002+(1).jpg)
TAIFA STARS YAWASILI SALAMA JIJINI JOHANNESBURG
![](http://4.bp.blogspot.com/-OIifDRk-tAk/U9o1jXE55JI/AAAAAAAF8BM/-_zQWOSNRVI/s1600/002+(1).jpg)