BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS
Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba). Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba) inatarajiwa kuwasili nchini kesho (Aprili 24 mwaka huu) saa 12 jioni kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa mechi dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumamosi (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Intamba Mu Rugamba itakuwa na msafara wa watu 28 wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi, na itafikia hoteli ya...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi09 Oct
TAIFA STARS YAWASILI BLANTYRE
10 years ago
MichuziTAIFA STARS YAWASILI RUSTENBURG
Taifa Stars ambayo iliondoka jana joni jijini Dar es salaam jijini Dar es salaam na kufika OR Tambo saa 5 usiku, ilipata mapokezi mazuri kutoka kwa waandaji wa michuano ya COSAFA pamoja na watanzania wanaoishi jijini humo, ililala katika hoteli ya Southern Sun.
Safari ya kutoka Johannesburg kuelekea...
11 years ago
Michuzi25 Feb
11 years ago
MichuziTAIFA STARS YAWASILI SALAMA JIJINI JOHANNESBURG
10 years ago
VijimamboTAIFA STARS YAWASILI BORG EL ARAB, KUWAVAA MISRI KESHO
Taifa Stars ambayo ilikuwa kambini nchini Ethiopia kwa takribani wiki moja, iliondoka jana usiku Addis Ababa na kuwasili uwanja wa ndege wa Cairo majira ya saa 8 usiku, kisha kuunganisha kwa usafiri wa basi mpaka Borg El Arab takribani...
10 years ago
VijimamboTAIFA STARS YAWASILI ZANZIBAR TAYARI KUWAKABILI WAGANDA JUMAMOSI
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Taifa Stars yanyoosha mikono kwa Burundi
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilishindwa kutamba kwa mara nyingine mbele ya Burundi, baada ya kulimwa mabao 2-0 katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa mjibu Bujumbura....
10 years ago
GPLKOCHA TAIFA STARS ATANGAZA WATAKAOENDA BURUNDI