22 WAITWA TAIFA STARS KUIKABILI NAMIBIA
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s72-c/Staz.jpg)
26 WAITWA TAIFA STARS ITAKAYOIVAA BENIN
![](http://2.bp.blogspot.com/-1K8UNuGB1wY/VCqNmtEH_rI/AAAAAAAGmtU/d2yy7eMgFMM/s1600/Staz.jpg)
Kocha Mart Nooij ambaye yuko Cairo, Misri kwenye kongamano la makocha la Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), amesema kikosi cha Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager kitaingia kambini Oktoba 6 mwaka huu jijini Dar es Salaam.
Wachezaji walioitwa ni makipa...
10 years ago
Mwananchi06 Nov
Mtiro, Mbonde, Isihaka waitwa Taifa Stars
Mchezaji mkongwe nchini, Abubakar Mtiro amerejeshwa kwenye kikosi cha Taifa Stars cha kocha Mart Nooij kinachojiandaa kucheza na Swaziland baadaye mwezi huu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ojSCGs3jvX2ciM3i*PBJuZMv47qrEq*pOEGXBWvBYN-V5Yb4xHStedpJE9oU*AXX95xci4oDBPV2NbKKBRKeqp6dgU5Kj9dx/burundi.jpg?width=650)
BURUNDI YAWASILI KUIKABILI TAIFA STARS
Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba). Timu ya Taifa ya Burundi (Intamba Mu Rugamba) inatarajiwa kuwasili nchini kesho (Aprili 24 mwaka huu) saa 12 jioni kwa ndege ya Kenya Airways tayari kwa mechi dhidi ya Taifa Stars itakayochezwa Jumamosi (Aprili 26 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Intamba Mu Rugamba itakuwa na msafara wa watu 28 wakiwemo wachezaji, benchi la ufundi na viongozi, na itafikia hoteli ya...
11 years ago
GPLTAIFA STARS WATUA WINDHOEK, NAMIBIA
Kikosi cha Stars. Kikosi cha Taifa Stars kimeondoka leo alfajiri kwenda Windhoek, Namibia kwa ajili ya mechi ya kalenda ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) dhidi ya wenyeji itakayochezwa Machi 5 mwaka huu. Taifa Stars inayodhaminiwa na Kilimanjaro Premium Lager ina msafara wa watu 25 unaoongozwa na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF). Timu imefikia hoteli ya Safari jijini...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Taifa Stars yapata sare Namibia
>Pamoja na kusafiri na kikosi cha wachezaji 15, timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ ilifanikiwa kutoka sare ya 1-1 na Namibia katika mechi ya kimataifa ya kirafiki iliyochezwa kwenye Uwanja wa Sam Nujoma, Windhoek.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct9BE8xQpt7eYfJ6dxrEFJ1JKpZSf0E72LQlpnXWEtlcyNjPbxo7APfUPt*mrMwrZ5YAfib1nM0Z5QXPb7QbRl5rAOvP-rGI/1group.jpg?width=650)
TAIFA STARS YAPATA SARE DHIDI YA WENYEJI NAMIBIA
Kikosi cha Taifa Stars. Taifa Stars imefanikiwa kupata sare ya bao 1-1 dhidi ya wenyeji wake Namibia katika mechi ya kirafiki iliyochezwa leo jijini Windhoek.
Stars ndiyo ilikuwa ya kwanza kupata bao lililofungwa na kiungo mwenye kipaji wa pembeni wa Azam FC, Hamis Mcha maarufu kama Vialli. Vialli alifunga bao hilo zikiwa zimebaki dakika tatu tu mpira kwisha, lakini wenyeji wakasawazisha katika dakika za nyongeza. Bao lao...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania