Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars yachapwa Botswana

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilichapwa mabao 4-2 mbele ya Botswana katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa mjini Gaborone. Stars imeweka kambi nchini Botswana...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.

 

10 years ago

Vijimambo

STARS YAKOSA KUTAMBA KWENYE MCHEZO WAKE WA KWANZA DHIDI YA SWAZIAND, YACHAPWA BAO 1-0


Kikosi cha Taifa Stars.
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imepoteza mchezo wake wa kwanza wa michuano ya COSAFA Castel Cup dhidi ya timu ya Taifa ya Swaziland, baada ya kufungwa bao 1- 0 mchezo uliochezwa katika uwanja wa Royal Bafokeng jijini Rustenburg.Stars ilipoteza nafasi zaidi ya tano kipindi cha kwanza kupitia kwa washambuliaji wake Saimon Msuva na nahodha John Bocco ambao walishindwa kukwamisha mpira wavuni katika kipindi cha kwanza, ambacho Taifa Stars ilicheza vizuri.Swaziland...

 

11 years ago

TheCitizen

Stars to camp in Botswana ahead of Mozambique duel

The national soccer team, Taifa Stars, is expected to leave for Gaborone, Botswana on June 22 for residential camp ahead of the 2015 Africa Cup 

 

11 years ago

TheCitizen

Taifa Stars play Botswana in friendly build-up match

The national soccer team,Taifa Stars, today play against Botswana’s ‘The Zebras in an international friendly match in Gaborone.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yachapwa 3 -2 na Denmark

Denmark imeiadhibu Marekani katika mechi ya kimataifa ya kirafiki baada ya kuifunga magoli 3 - 2.

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1

Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam yashinda, Toto yachapwa

Ligi kuu ya Tanzania bara jana iliendelea tena kwa michezo miwili kuchezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Westbrom yachapwa na Aston Villa 2-1

Ligi kuu England, iliendelea usiku wa kuamkia leo kwa viwanja vitatu kuwaka moto.

 

10 years ago

GPL

MAN UTD YACHAPWA 5-3 NA LEICESTER

Esteban Cambiasso (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao Leicester dhidi ya Manchester United. TIMU ya Manchester United imepokea kipigo cha mabao 5-3 kutoka kwa Leicester mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Uwanja wa King Power leo. Wafungaji wa Leicester katika mechi hiyo ni Ulloa (2), Nugent na Cambiasso, Vardy wakati ya Man United yakifungwa na Van Persie, Di Maria na Herrera. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani