Marekani yachapwa 3 -2 na Denmark
Denmark imeiadhibu Marekani katika mechi ya kimataifa ya kirafiki baada ya kuifunga magoli 3 - 2.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-t7znlyIq2xw/U5CaBoeuSlI/AAAAAAAFn3E/Q-xNOX0qnTU/s72-c/Dronning+Margrethe.jpg)
congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark
![](http://4.bp.blogspot.com/-t7znlyIq2xw/U5CaBoeuSlI/AAAAAAAFn3E/Q-xNOX0qnTU/s1600/Dronning+Margrethe.jpg)
“Your Majesty Queen Margrethe II, The Queen of Denmark, Copenhagen, DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...
10 years ago
BBCSwahili10 Nov
Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1
Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Stars yachapwa Botswana
TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilichapwa mabao 4-2 mbele ya Botswana katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa mjini Gaborone. Stars imeweka kambi nchini Botswana...
10 years ago
BBCSwahili23 Mar
Real Madrid yachapwa na Barcelona 2 - 1
Real Madrid jana ilidondokea pua katika mechi ya kukata na shoka baina yake na mahasimu wao Barcelonakukubali kichapo cha magoli 2 -1.
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Azam yashinda, Toto yachapwa
Ligi kuu ya Tanzania bara jana iliendelea tena kwa michezo miwili kuchezwa.
10 years ago
BBCSwahili29 Apr
Liverpool yachapwa na Hull City 1 - 0
Liverpool imezidi kujiweka katika hali ngumu ya kuingia katika nne bora ya ligi hiyo baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa bila kutoka kwa Hull City.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz61x*jQNEey2*CsZMJzMcw-b7QJLUD-Lk8vT4rNc5dlJekD8vP54cbD58bf7IH0iwkC2cRJzm9vt9tnzsWqFvdgy/cambiasso.jpg?width=650)
MAN UTD YACHAPWA 5-3 NA LEICESTER
Esteban Cambiasso (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao Leicester dhidi ya Manchester United. TIMU ya Manchester United imepokea kipigo cha mabao 5-3 kutoka kwa Leicester mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Uwanja wa King Power leo. Wafungaji wa Leicester katika mechi hiyo ni Ulloa (2), Nugent na Cambiasso, Vardy wakati ya Man United yakifungwa na Van Persie, Di Maria na Herrera. ...
10 years ago
BBCSwahili04 Mar
Westbrom yachapwa na Aston Villa 2-1
Ligi kuu England, iliendelea usiku wa kuamkia leo kwa viwanja vitatu kuwaka moto.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-RzBtAZHNJs8lU06gKsoJHoDUkx2-zIs4y9qOvdDTPr0xpgFdIKSDR4AuMARcArGhcNRGx2vlKb0m2aOd3cZtoK/taifastarz.jpg)
TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI
TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania