Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yachapwa 3 -2 na Denmark

Denmark imeiadhibu Marekani katika mechi ya kimataifa ya kirafiki baada ya kuifunga magoli 3 - 2.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark

H.E Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M Queen Margrethe II of Denmark on the occasion to celebrate the Constitution Day of Denmark on 5th June 2014.


“Your Majesty Queen Margrethe II,

   The Queen of Denmark,

   Copenhagen,

   DENMARK. It is my pleasure on behalf of the people and the Government of the United Republic of Tanzania to extend to Your Majesty and through you to the people of Denmark my heartfelt...

 

10 years ago

BBCSwahili

Arsenal yachapwa na Swansea 2 -1

Arsenal walikuwa ugenini wakimenyana na Swansea ambapo wamepata kichapo baada ya kukubali kufungwa magoli 2 -1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars yachapwa Botswana

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, juzi ilichapwa mabao 4-2 mbele ya Botswana katika mechi ya kirafiki iliyochezwa katika Uwanja wa Taifa mjini Gaborone. Stars imeweka kambi nchini Botswana...

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yachapwa na Barcelona 2 - 1

Real Madrid jana ilidondokea pua katika mechi ya kukata na shoka baina yake na mahasimu wao Barcelonakukubali kichapo cha magoli 2 -1.

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam yashinda, Toto yachapwa

Ligi kuu ya Tanzania bara jana iliendelea tena kwa michezo miwili kuchezwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Liverpool yachapwa na Hull City 1 - 0

Liverpool imezidi kujiweka katika hali ngumu ya kuingia katika nne bora ya ligi hiyo baada ya kukubali kichapo cha bao moja kwa bila kutoka kwa Hull City.

 

10 years ago

GPL

MAN UTD YACHAPWA 5-3 NA LEICESTER

Esteban Cambiasso (katikati) akishangilia baada ya kuifungia bao Leicester dhidi ya Manchester United. TIMU ya Manchester United imepokea kipigo cha mabao 5-3 kutoka kwa Leicester mechi ya Ligi Kuu England iliyopigwa Uwanja wa King Power leo. Wafungaji wa Leicester katika mechi hiyo ni Ulloa (2), Nugent na Cambiasso, Vardy wakati ya Man United yakifungwa na Van Persie, Di Maria na Herrera. ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Westbrom yachapwa na Aston Villa 2-1

Ligi kuu England, iliendelea usiku wa kuamkia leo kwa viwanja vitatu kuwaka moto.

 

10 years ago

GPL

TAIFA STARS YACHAPWA 3-0 NA MISRI

TIMU ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanza vibaya mechi za Kundi G za kufuzu Fainali za Mataifa ya Afrika 2017 baada ya kufungwa mabao 3-0 na Misri usiku huu mjini Alexandria. Mabao yote ya Misri yamefungwa kipindi cha pili, wafungaji wakiwa Rami Rabia dakika ya 61, Basem Morsi dakika ya 65 na Mohamed Salah dakika ya 70.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani