CAF: Azam yashinda kiduchu
>Azam imeanza vema mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CHAN) baada ya kuichapa Ferroviario kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
JS Kabylie yashinda kesi dhidi ya Caf
9 years ago
BBCSwahili28 Dec
Azam yashinda, Toto yachapwa
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s72-c/kipre1.jpg)
AZAM FC yashinda bao 1-0 dhidi ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-DnXR4mLqJhc/Uve7q__-_HI/AAAAAAAFL8s/hOaFomcAaCo/s1600/kipre1.jpg)
10 years ago
Mtanzania07 May
Yanga yaibeba Azam CAF
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...
10 years ago
Mtanzania04 May
Simba, Azam ‘watauana’ Caf
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.
Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.
Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...
10 years ago
Mwananchi05 May
Azam mtegoni, Simba yanukia CAF
10 years ago
TheCitizen18 Apr
Azam, Simba battle for ‘Caf berth’
10 years ago
TheCitizen07 May
Azam deny Simba Caf spot