Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zaidi ya 5000 wathibitishwa kufa Nepal

Idadi ya watu waliothibitishwa kuaga dunia kulipotokea tetemeko la ardhi nchini Nepal siku ya Jumamosi imezidi watu 5000.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Zaidi ya 4000 wathibitishwa kufa Nepal

Utawala nchini Nepal unasema watu zaidi ya watu 4000 wamedhibitishwa kuaga dunia kwenye tetemeko la ardhi la siku ya Jumamosi.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Wanaume wawili wathibitishwa kufa kutokana na Covid-19 Tanzania

Kulingana na taarifa ya Wizara ya afya kuhusu Ugonjwa wa virusi vya corona nchini Tanzania wanaume hao wote wawili waliokufa ni raia wa Tanzania.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Wakenya watishia kutoroka karantini, wagonjwa 9 zaidi wathibitishwa

Makumi ya watu waliokuwa katika karantini ya lazima nchini Kenya wamefanya mgomo na kutishia kutoroka katika kituo hicho katika mji mkuu wa Nairobi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mamlaka ya Nepal yaomba usaidizi zaidi

Mamlaka ya Nepal imeomba msaada zaidi wa helikopta kutoka kwa mataifa ya kigeni

 

10 years ago

BBCSwahili

Tetemeko laua zaidi ya watu 3,600 Nepal

Watu zaidi ya 3,600 wameripotiwa kufa kutokana na tetemeko la ardhi nchini Nepal lililoikumba nchi hiyo Jumamosi

 

10 years ago

Vijimambo

WATU ZAIDI YA 2,000 WAFARIKI DUNIA KUTOKANA NA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

 Siku moja baada ya kukumbwa na tetemeko kubwa la ardhi, Nepal imeshuhudia tetemeko lingine kubwa lililoelezewa kusababisha vifo vya zaidi ya watu 2,000 katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kathmandu.  Maofisa nchini humo wamesema kuwa vikosi vya uokoaji vinaendelea na kazi ya kuwatafuta watu walionusurika, na wanahofu kuwa idadi ya watu waliofariki dunia inaweza kuongezeka.Wananchi wakiwa wamekusanyika katika maeneo ya wazi mitaani mjini Kathmandu baada ya kutokea kwa tetemeko hilo. Tetemeko hilo...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NYUZZZZ...: ZAIDI YA WATU 900 WADAIWA KUPOTEZA KWA TETEMEKO LA ARDHI NCHINI NEPAL

TETEMEKO la ardhi limetokea nchini Nepal muda mchache uliopita na na kupoteza maisha ya watu  ya 900 na kuangusha Mnara wa Karne ya 19 Mjini, Kathmandu pamoja na kusababisha maporomoko ya theluji kutoka katika milima. 
Taarifa zinadai kuna uharibifu katika maeneo ya nje ya kitovu cha tetemeko hilo lenye ukubwa wa kipimo cha richter cha 7.9 maili 50 kutoka Pokhara mji wa pili kwa ukubwa nchini Nepal. 
Tetetemeko hilo la ardhi ni kubwa kabisa kuwahi kuikumba nchi hiyo katika kipindi cha miaka 81...

 

9 years ago

Dewji Blog

TASAF yarudisha zaidi ya shilingi 2,980,000/= zilizokosa wahusika baada ya kufa

SAM_0218

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Itigi majengo wakiwa katika mstari wakisubiri kupokea malipo yao kupitia mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF awamu ya tatu).

SAM_0226

Walipaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini wakiendelea na ulipaji wa malipo hayo katika Kijiji cha Sukamahela, wilayani Manyoni.

SAM_0220

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Kilimatinde, wilayani Manyoni wakisubiri malipo yao kwenye ofisi za Kijiji hicho.

SAM_0228

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Sukamahela wasiojiweza wakiletwa kwenye ofisi za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani