Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa

Chama cha upinzani nchini Myanmar kimepata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili, maafisa wa uchaguzi wamesema.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Rais wa Myanmar ampongeza bi.Suu Kyi

Rais wa Myanmar Thein Sein amekipongeza chama cha upinzani cha Aung San Suu Kyi kwa kushinda uchaguzi mkuu ,msemaji wake ameiambia BBC.

 

10 years ago

BBCSwahili

Aung Suu Kyi ataka uchaguzi wa haki

Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa na ambaye sasa ni kiongozi wa upinzani nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi, ametoa wito kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ufanywe kwa njia ya haki na ukweli.

 

9 years ago

BBCSwahili

Jenerali Shwe 'amuunga mkono' Suu Kyi

Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Myanmar, Jenerali Than Shwe, 'amemuunga mkono' kinara wa upinzani Bi Aung San Suu Kyi katika mkutano wa siri

 

9 years ago

BBCSwahili

Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki

Kiongozi wa upinzani Myanmar Aung San Suu Kyi amesema uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini humo haukuwa huru lakini ulikuwa wa haki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Aung San Suu Kyi, aiga mfano wa Magufuli

Kiongozi wa upinzani wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, leo alivaa glavu na kuokota taka katika tarafa yake kama alivyofanya rais wa Tanzania Magufuli

 

9 years ago

BBCSwahili

Suu Kyi ahidi kuwa juu ya rais Myanmar

Kiongozi wa upinzani nchini Myanmar,Aung San Suu Kyi ameahidi kuwa ataongoza serikali ikiwa chama chake cha National League for Democracy kitashinda uchaguzi mkuu

 

10 years ago

Michuzi

USHINDI WA TOTO, MAJIMAJI WATHIBITISHWA FDL

MajimajiKamati ya Uendeshaji na Usimamizi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (TPLB) imethibitisha ushindi wa pointi na mabao matatu kwa timu za Majimaji na Toto Africans baada ya mechi zao za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) kuvurugika kutokana na sababu mbalimbali.
Toto Africans imepewa ushindi huo kwa mujibu wa Kanuni ya 41(3) ya FDL baada ya vurugu za washabiki wa Geita Gold kusababisha mechi hiyo iliyochezwa Februari 10 mwaka huu kwenye Uwanja wa Nyankumbu mkoani Geita kuvunjika dakika ya 12.
Pia...

 

10 years ago

BBCSwahili

Chama cha Nieto kupata ushindi Mexico

Huku kura zikiendelea kuhesabiwa nchini Mexico chama cha mapinduzi cha rais Enrique Pena Nieto, kinaelekea kupata ushindi

 

11 years ago

BBCSwahili

Chama cha ANC chapata ushindi mkubwa

Tume ya uchaguzi nchini Afrika kusini imetangaza matokeo rasmi ya uchaguzi mkuu uliofanyika siku ya jumatano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani