Suu Kyi ahidi kuwa juu ya rais Myanmar
Kiongozi wa upinzani nchini Myanmar,Aung San Suu Kyi ameahidi kuwa ataongoza serikali ikiwa chama chake cha National League for Democracy kitashinda uchaguzi mkuu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Rais wa Myanmar ampongeza bi.Suu Kyi
Rais wa Myanmar Thein Sein amekipongeza chama cha upinzani cha Aung San Suu Kyi kwa kushinda uchaguzi mkuu ,msemaji wake ameiambia BBC.
10 years ago
BBCSwahili19 Jun
Aung Suu Kyi ataka uchaguzi wa haki
Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa na ambaye sasa ni kiongozi wa upinzani nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi, ametoa wito kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ufanywe kwa njia ya haki na ukweli.
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki
Kiongozi wa upinzani Myanmar Aung San Suu Kyi amesema uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini humo haukuwa huru lakini ulikuwa wa haki.
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa
Chama cha upinzani nchini Myanmar kimepata ushindi mkubwa kwenye uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili, maafisa wa uchaguzi wamesema.
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Jenerali Shwe 'amuunga mkono' Suu Kyi
Kiongozi wa zamani wa kijeshi wa Myanmar, Jenerali Than Shwe, 'amemuunga mkono' kinara wa upinzani Bi Aung San Suu Kyi katika mkutano wa siri
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Aung San Suu Kyi, aiga mfano wa Magufuli
Kiongozi wa upinzani wa Myanmar, Aung San Suu Kyi, leo alivaa glavu na kuokota taka katika tarafa yake kama alivyofanya rais wa Tanzania Magufuli
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
Dkt Magufuli amesema kuwa serikali atakayoingoza atakapopata ridhaa ya kuingia Ikulu,itazifanya huduma za Afya kuwa bora na kuwabana wahudumu wa afya wenye tabia ya kuchukua dawa na kuziuza kwa watu binafsi.
Magufuli ambaye...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s72-c/_MG_8415.jpg)
MAGUFULI AHIDI KUANZISHA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WALA RUSHWA IWAPO ATACHAGULIWA KUWA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-w6Ju0P-HHtc/VeCANr7l52I/AAAAAAAH0sQ/xBIpFYHfENM/s640/_MG_8415.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NWeK14oK28Y/VeCAA5jGTLI/AAAAAAAH0rg/PM1zThJFtvc/s640/_MG_8247.jpg)
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Rais wa Myanmar kupokeza upinzani madaraka
Rais wa Myanmar, Thein Sein,amesema shughuli za kupokeza madaraka kwa chama cha upinzani utatafanyika kwa amani na utulivu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania