Rais wa Myanmar kupokeza upinzani madaraka
Rais wa Myanmar, Thein Sein,amesema shughuli za kupokeza madaraka kwa chama cha upinzani utatafanyika kwa amani na utulivu.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Nov
Rais wa Myanmar aonya dhidi ya kuchagua upinzani
Rais wa Myanmar Thein Sein amewaonya raia wa nchi hiyo dhidi ya kupigia kura chama cha upinzani cha Aung San Suu-Kyi.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Upinzani waamini utashinda uchaguzi Myanmar
Chama cha upinzani nchini Myanmar cha NLD kimesema kina Imani kitashinda uchaguzi wa kwanza huru kufanyika nchini humo katika kipindi cha miaka 25.
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Rais wa Myanmar ampongeza bi.Suu Kyi
Rais wa Myanmar Thein Sein amekipongeza chama cha upinzani cha Aung San Suu Kyi kwa kushinda uchaguzi mkuu ,msemaji wake ameiambia BBC.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Suu Kyi ahidi kuwa juu ya rais Myanmar
Kiongozi wa upinzani nchini Myanmar,Aung San Suu Kyi ameahidi kuwa ataongoza serikali ikiwa chama chake cha National League for Democracy kitashinda uchaguzi mkuu
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
MADARAKA YA RAIS YAWAGAWA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA
Suala la madaraka na majukumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, limezua mvutano katika baadhi ya kamati za Bunge Maalum la Katiba na kusababisha mojawapo kuziweka kiporo ibara za 72 na 73 za sura ya saba ili kutoa fursa kwa wajumbe kutafakari zaidi.
Wajumbe waliotofautiana na kulazimika kuziweka kando ibara hizo ili kuendelea kujadili ibara nyingine za Rasimu ya Katiba kuwa ni wa kamati namba 10 inayoongozwa na Anna Abdallah.
Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo, Salmin Awadh Salmin, alisema...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s72-c/ss.png)
Serikali yafafanua ukomo wa madaraka ya Rais na Mawaziri
![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s640/ss.png)
Taarifa iliyotolewa jioni ya leo, Jumatano, Oktoba 21, 2015, Ikulu, Dar es Salaam na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue imesema kuwa Serikali imetoa ufafanuzi huo kuwasaidia wananchi kuelewa maelekezo na matakwa ya Katiba na Sheria kuhusu...
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Rais Kikwete aanza kukabidhi madaraka nje
Rais Jakaya Kikwete amekabidhi madaraka ya Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika ya Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi.
10 years ago
Habarileo14 Aug
Kamati zashauri madaraka zaidi ya Rais kupunguzwa
PAMOJA na Rasimu ya Katiba mpya ya Jaji Joseph Warioba kupunguza madaraka ya Rais, kamati zilizotoa taarifa ya mwenendo wake jana zimependekeza madaraka zaidi kupunguzwa.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Waasi wamtaka Rais Kabila aachie madaraka
Kiongozi wa waasi wa Jamhuri ya Kati Paul Joseph Mukungubila ameikosoa Serikali ya nchi hiyo na kumtaka Rais Joseph Kabila aondoke madarakani.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania