Rais Kikwete aanza kukabidhi madaraka nje
Rais Jakaya Kikwete amekabidhi madaraka ya Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika ya Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Feb
JK aanza kukabidhi madaraka nje
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Marekani yamwagia sifa Rais Kikwete kwa kuheshimu Katiba na kukabidhi madaraka
Viongozi wa Marekani wamemwagia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) sifa kubwa za ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.
Rais Kikwete amemwagiwa sifa hizo, Jumanne, Septemba 22, 2015 katika mikutano yake mbali mbali na viongozi wa Serikali ya Marekani na wa...
11 years ago
Habarileo31 Mar
Rais Kikwete aanza ziara Uingereza
RAIS Jakaya Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara nadra kufanywa na viongozi wa nchi za nje nchini Uingereza.
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Oktoba 21, 2014, anaanza ziara rasmi ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping, ikiwa ni ziara yake ya pili nchini humo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Baada ya China, Rais Kikwete atafanya ziara rasmi ya siku tatu nchini Vietnam kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo.
Wakati wa ziara yake nchini...
10 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s72-c/c1.jpg)
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s1600/c1.jpg)
Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TdaSiorOD5Y/VEbYYlqGs1I/AAAAAAADKSM/344VVu0lar8/s1600/c2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WRVYHUFFBR8/VWx3q25832I/AAAAAAAHbIY/Bd5UBcdqyyA/s72-c/New%2BPicture.png)
Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
![](http://1.bp.blogspot.com/-WRVYHUFFBR8/VWx3q25832I/AAAAAAAHbIY/Bd5UBcdqyyA/s1600/New%2BPicture.png)
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu,...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE AAGANA NA WATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE
9 years ago
MichuziWATUMISHI WA WIZARA YA MAMBO YA NJE WAMUAGA RAIS KIKWETE
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA.