Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Marekani yamwagia sifa Rais Kikwete kwa kuheshimu Katiba na kukabidhi madaraka

Jakaya-Kikwete1

Viongozi wa Marekani wamemwagia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) sifa kubwa za ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.

Rais Kikwete amemwagiwa sifa hizo, Jumanne, Septemba 22, 2015 katika mikutano yake mbali mbali na viongozi wa Serikali ya Marekani na wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Rais Kikwete aanza kukabidhi madaraka nje

Rais Jakaya Kikwete amekabidhi madaraka ya Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika ya Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi.

 

10 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS

Na. Sylvester Onesmo wa Jeshi la Polisi Dodoma
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME  - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ammwagia sifa Rais Kagame kwa kujenga umoja

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete amemsifu kiongozi wa Rwanda, Rais Paul Kagame kwa mafanikio yake makubwa katika kuifanya nchi yake iwe mfano wa kuigwa katika kujenga umoja wa kitaifa pamoja na kupiga hatua kiuchumi na kimaendeleo muda mfupi tu baada ya nchi hiyo kuathirika vibaya kwa vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyosababisha mauaji ya kimbari.

“Ninampongeza Rais Kagame kwa jitihada zake zenye mafanikio makubwa katika kuijenga upya nchi ya Rwanda na kuweza kutengeneza taifa moja lililoweza...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE AWAPONGEZA DIAMOND NA IDRIS SULTAN KWA KUILETEA SIFA TANZANIA

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii. Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya tuzo tano za muziki...

 

10 years ago

Mwananchi

JK aanza kukabidhi madaraka nje

Rais Jakaya Kikwete amekabidhi madaraka ya Uratibu wa Kamati ya Wakuu wa Nchi na Serikali za Afrika ya Mazingira (CAHOSCC) kwa Rais wa Misri, Jenerali Abdel Fatteh El Sisi.

 

11 years ago

KwanzaJamii

MADARAKA YA RAIS YAWAGAWA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA

Suala la madaraka na majukumu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano, limezua mvutano katika baadhi ya kamati za Bunge Maalum la Katiba na kusababisha mojawapo kuziweka kiporo ibara za 72 na 73 za sura ya saba ili kutoa fursa kwa wajumbe kutafakari zaidi. Wajumbe waliotofautiana na kulazimika kuziweka kando ibara hizo ili kuendelea kujadili ibara nyingine za Rasimu ya Katiba kuwa ni  wa kamati namba 10 inayoongozwa na Anna Abdallah. Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo,  Salmin Awadh Salmin, alisema...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wajumbe Bunge la Katiba waridhia madaraka ya Rais kupunguzwa


Na Waandishi Wetu, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa kamati namba 12, wamekubaliana kupunguza majukumu ya Rais na kutengwa kwa orodha ya viongozi ambao Rais anaweza kuwateua endapo atafanya uteuzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Paul Kimiti, alisema kamati yake pia imeridhia utaratibu wa uraia pacha.
Kimiti alisema wajumbe wa kamati yake wameona wapunguze majukumu ya Rais, ikiwa ni pamoja na kumtengea orodha ya viongozi, ambao anaweza kuwateua wakati...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na msanii Nassib Abdul ‘Diamond’ Ikulu, awapongeza yeye na Idris Sultan kwa kuiletea sifa Tanzania

unnamed-11

 

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha msanii Naseeb Abdul “Diamond” na  kumpongeza kwa kushinda tuzo tano za muziki za kimataifa mwaka huu, Ikulu jijini Dar es salaam siku ya Jumanne Desemba 23, 2014 . Kutokana na sababu zisizoweza kuzuilika, Mshindi wa Big Brother Africa Idris Sultan hakuweza kufika Ikulu kuonana na Rais Kikwete siku hii.

unnamed-41

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo toka kwa msanii Nassib Abdul “Diamond” wakati akimuonesha moja ya tuzo kati ya  tuzo tano za...

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KIKWETE ZIARANI MAREKANI KWA MWALIKO WA UMOJA WA MATAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili, Machi 29, 2015 amewasili jijini New York, Marekani kwa mwaliko wa Umoja wa Mataifa.Miongoni mwa mambo mengine, Rais Kikwete amefunguia rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Mwakilishi wa kudumu wa Tanzania katika umoja wa Mataifa, na Jumatatu Machi 30, 2015 amealikwa kuhutubia Baraza la Umoja wa Mataifa la Uchumi na Jamii (ECOSOC - UN). Rais Kikwete akilakiwa na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani