Rais Kikwete aanza ziara Uingereza
RAIS Jakaya Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara nadra kufanywa na viongozi wa nchi za nje nchini Uingereza.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi21 Aug
11 years ago
Dewji Blog21 Oct
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Oktoba 21, 2014, anaanza ziara rasmi ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping, ikiwa ni ziara yake ya pili nchini humo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Baada ya China, Rais Kikwete atafanya ziara rasmi ya siku tatu nchini Vietnam kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo.
Wakati wa ziara yake nchini...
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu,...
11 years ago
Vijimambo
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China leo

Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping.

11 years ago
GPLZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI UINGEREZA
11 years ago
Michuzi
TAARIFA ZIARA YA RAIS KIKWETE NCHINI UINGEREZA

Uingereza inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji...
10 years ago
Habarileo12 Oct
Rais wa Namibia aanza ziara
RAIS wa Namibia, Dk Hage Geingob aliwasili nchini jana kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Rais wa China aanza ziara Vietnam
10 years ago
Dewji Blog04 Jan
Ridhiwani Kikwete aanza ziara ya kikazi katika vijiji 40 Chalinze
Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akikagua vyumba vya madarasa vya Shule ya Msingi Kibindu, wilayani Bagamoyo, Pwani vilivyobmoka na kuezuliwa paa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha hivi karibuni. Ridhiwani yupo katika ziara ya kikazi ya kutembelea vijiji 40 jimboni humo.Pia Ridhiwani alishauri shule hiyo yenye majengo yaliyojengwa tangu 1952 ifungwe ili kuepusha maafa zaidi hadi itakapojengwa upya. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

Mbunge wa...