Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya
![](http://1.bp.blogspot.com/-WRVYHUFFBR8/VWx3q25832I/AAAAAAAHbIY/Bd5UBcdqyyA/s72-c/New%2BPicture.png)
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
Telephone: 255-22-2114512, 2116898 E-mail: ikulucommpress@googlemail.comWebsite : www.ikulu.go.tz Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE, STATE HOUSE, 1 BARACK OBAMA ROAD, 11400 DAR ES SALAAM.Tanzania. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais Kikwete aanza ziara ya nchi tatu Ulaya.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumatatu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo31 Mar
Rais Kikwete aanza ziara Uingereza
RAIS Jakaya Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara nadra kufanywa na viongozi wa nchi za nje nchini Uingereza.
10 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
Dewji Blog21 Oct
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete leo, Jumanne, Oktoba 21, 2014, anaanza ziara rasmi ya siku sita katika Jamhuri ya Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping, ikiwa ni ziara yake ya pili nchini humo akiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano.
Baada ya China, Rais Kikwete atafanya ziara rasmi ya siku tatu nchini Vietnam kwa mwaliko wa Rais wa nchi hiyo.
Wakati wa ziara yake nchini...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s72-c/c1.jpg)
Rais Kikwete aanza ziara rasmi ya China leo
![](http://3.bp.blogspot.com/-miM9JbgdOUY/VEbYYuEMmTI/AAAAAAADKSQ/EYQ4M7ljgqE/s1600/c1.jpg)
Watu wa China kwa mwaliko wa Rais Xi Jinping.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TdaSiorOD5Y/VEbYYlqGs1I/AAAAAAADKSM/344VVu0lar8/s1600/c2.jpg)
10 years ago
Michuzi10 May
10 years ago
Vijimambo10 May
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/--kXmash0fyo/VU6hmB5mKvI/AAAAAAADmkU/Itc_G-3U9OY/s72-c/a1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI ALGIERS, ALGERIA, KWA ZIARA RASMI YA SIKU TATU
Rais was Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini Algiers, mji mkuu wa Algeria, mchana wa leo, Jumamosi, Mei 9, 2015 kuanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku tatu katika nchi hiyo rafiki wa miaka mingi wa Tanzania kwa mwaliko wa Rais Abdelaziz Bouteflika.
Rais Kikwete amewasili katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria akitokea New York, Marekani, ambako kwa wiki nzima amekuwa anaendesha vikao vya Jopo la Watu Mashuhuri Duniani ambao wanatafuta...
10 years ago
Dewji Blog10 May
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/74mH2pTTSA0/default.jpg)