Kamati zashauri madaraka zaidi ya Rais kupunguzwa
PAMOJA na Rasimu ya Katiba mpya ya Jaji Joseph Warioba kupunguza madaraka ya Rais, kamati zilizotoa taarifa ya mwenendo wake jana zimependekeza madaraka zaidi kupunguzwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
Wajumbe Bunge la Katiba waridhia madaraka ya Rais kupunguzwa
Na Waandishi Wetu, Dodoma
BAADHI ya wajumbe wa kamati namba 12, wamekubaliana kupunguza majukumu ya Rais na kutengwa kwa orodha ya viongozi ambao Rais anaweza kuwateua endapo atafanya uteuzi.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Paul Kimiti, alisema kamati yake pia imeridhia utaratibu wa uraia pacha.
Kimiti alisema wajumbe wa kamati yake wameona wapunguze majukumu ya Rais, ikiwa ni pamoja na kumtengea orodha ya viongozi, ambao anaweza kuwateua wakati...
9 years ago
BBCSwahili15 Nov
Rais wa Myanmar kupokeza upinzani madaraka
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
Taasisi za kifedha zashauri kupunguza riba
![](http://4.bp.blogspot.com/-QcPWDf8-mHo/VFdGs7rc7xI/AAAAAAAGvOw/U_WHRHz5xbQ/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-PawhFJeehdA/VFdGtskixAI/AAAAAAAGvO8/ae9AjeOT8Yw/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-0189OLuvkDk/VFdGti4RuQI/AAAAAAAGvO4/Q_CyeqSnsro/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
Na Kibada Kibada Rukwa.
Waziri wa Uwekezaji na uwezeshaji Dkt Mary Nagu ...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s72-c/ss.png)
Serikali yafafanua ukomo wa madaraka ya Rais na Mawaziri
![](http://1.bp.blogspot.com/-sF4o_EyTw90/VigHROt-YMI/AAAAAAAIBlI/p5_j93Qn0eA/s640/ss.png)
Taarifa iliyotolewa jioni ya leo, Jumatano, Oktoba 21, 2015, Ikulu, Dar es Salaam na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Yohana Sefue imesema kuwa Serikali imetoa ufafanuzi huo kuwasaidia wananchi kuelewa maelekezo na matakwa ya Katiba na Sheria kuhusu...
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Waasi wamtaka Rais Kabila aachie madaraka
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Rais Kikwete aanza kukabidhi madaraka nje
10 years ago
KwanzaJamii15 Aug
MADARAKA YA RAIS YAWAGAWA WAJUMBE BUNGE LA KATIBA
10 years ago
Vijimambo07 Oct
RAIS KENYATTA AKABIDHI MADARAKA KWA ROTO TAYARI KWENDA ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/07/141007081244_kenyatta_1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Marekani yamwagia sifa Rais Kikwete kwa kuheshimu Katiba na kukabidhi madaraka
Viongozi wa Marekani wamemwagia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete (pichani) sifa kubwa za ujenzi na ulezi wa demokrasia, heshima kwa haki za binadamu na zaidi ya yote uheshimu wa Katiba ambao unamwezesha kuondoka madarakani kwa mujibu wa Katiba ya Tanzania na kukabidhi madaraka kwa Rais ajaye kwa hiari na kwa amani.
Rais Kikwete amemwagiwa sifa hizo, Jumanne, Septemba 22, 2015 katika mikutano yake mbali mbali na viongozi wa Serikali ya Marekani na wa...