RAIS KENYATTA AKABIDHI MADARAKA KWA ROTO TAYARI KWENDA ICC
Kenyatta amemkabidhi mamlaka kwa muda naibu wake William Ruto kwa siku mbili atakazokuwa nje. Mahakama ya kimataifa ya ICC, inajianda kuwa mwenyeji wa mkutano maalum wa siku mbili kuhusu kesi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye atakuwa rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama hiyo.Kenyatta anakabiliwa na tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu anazodaiwa kutenda baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.Mahakama hiyo inasama kuwa Kenyatta alihusia katika kupanga na kufadhili ghasia za...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili06 Oct
Rais Kenyatta tayari kwenda ICC
10 years ago
BBCSwahili07 Oct
ICC tayari kwa mkutano na Kenyatta
10 years ago
BBCSwahili26 Sep
Kenyatta asita kwenda kikao ICC
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Kenyatta rais wa kwanza ICC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4hNukqhfhE3BII8A3kOQmzQElMuL5C5zkhMutgx1Q1Lu-wEwbAADcVeSbx6gt5CJJplbfIq0YK3BXoIA772cbXYJoZunmTfQ/kenyatta.jpg)
RAIS KENYATTA NDANI YA ICC
10 years ago
BBCSwahili19 Sep
Rais Kenyatta atakiwa kufika ICC
10 years ago
Tanzania Daima06 Dec
ICC yatupa kesi ya Rais Kenyatta
MAHAKAMA ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), jana imetupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. Mwendesha Mashika Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda aliondoa kesi...
11 years ago
BBCSwahili20 Dec
ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta
10 years ago
Vijimambo08 Oct
Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC
![](http://ichef.bbci.co.uk/news/ws/590/amz/worldservice/live/assets/images/2014/10/08/141008075142_uhuru_kenyatta_640x360_bbc_nocredit.jpg)
Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.
Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC