Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta rais wa kwanza ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

RAIS KENYATTA NDANI YA ICC

Rais Kenyatta wakati akiwasili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague. RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo yupo mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu. Rais Kenyatta wakati akielekea The Hague jana. Rais…

 

11 years ago

BBCSwahili

ICC yaahirisha kesi ya Rais Kenyatta

Bensouda asema kujiondoa kwa mashahidi wawili wakuu katika kesi hiyo imemuacha pabaya huku mmoja asema ahwezi kutoa ushahidi dhidi ya rais

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Uhuru Kenyatta mbele ya ICC

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, amefika mbele ya mahakama ya kimataifa ya uhalifu ICC huko Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu.

Yeye ni kiongozi wa kwanza wa taifa kuwasili mbele ya mahakama hiyo.

Kenyatta amefika mbele ya mahakama hiyo baada ya waendesha mashtaka kuishutumu serikali ya Kenya kukata kuwasilisha ushahidi muhimu. BBC

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kenyatta tayari kwenda ICC

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko radhi kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kenyatta atakiwa kufika ICC

Mahakama ya kimataifa ya Jinai ICC, inamtaka Rais Uhuru Kenyatta kufika Hague tarehe 8 mwezi Oktoba licha kesi yake kuahirishwa

 

10 years ago

Tanzania Daima

ICC yatupa kesi ya Rais Kenyatta

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai (ICC), jana imetupilia mbali kesi ya jinai iliyokuwa ikimkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta. Mwendesha Mashika Mkuu wa ICC, Fatou Bensouda aliondoa kesi...

 

10 years ago

Mwananchi

Rais Uhuru Kenyatta hana mashtaka ICC

Mahakama ya Kimataifa ya Makosa ya Jinai, ICC imetupilia mbali kesi ya jinai inayomkabili Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KENYATTA AKABIDHI MADARAKA KWA ROTO TAYARI KWENDA ICC

Kenyatta amemkabidhi mamlaka kwa muda naibu wake William Ruto kwa siku mbili atakazokuwa nje. Mahakama ya kimataifa ya ICC, inajianda kuwa mwenyeji wa mkutano maalum wa siku mbili kuhusu kesi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye atakuwa rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama hiyo.Kenyatta anakabiliwa na tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu anazodaiwa kutenda baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.Mahakama hiyo inasama kuwa Kenyatta alihusia katika kupanga na kufadhili ghasia za...

 

10 years ago

Michuzi

Kesi ya Rais Uhuru Kenyatta wa kenya, ICC yampa muda Bensouda

Kiongozi wa mshataka katika mahakama 
ya kimataifa ICC Mhe. Fatou Bensouda

Mahakama ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita ICC imempa kiongozi wa mashtaka katika mahakama hiyo Fatou Bensouda makataa ya juma moja kutoa ushahidi dhidi ya rais wa kenya la sivyo aondoe mashtaka dhidi yake.''Kucheleweshwa kwa kesi hiyo ya rais Uhuru ni kinyume na maslahi ya haki ''iliamua.Rais Kenyatta ni kiongozi wa kwanza wa taifa kufika katika mahakama hiyo tangu ashtakiwe rasmi mwaka 2012 na mashtaka ya uhalifu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani