Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kenyatta asita kwenda kikao ICC

Rais Uhuru Kenyatta kupitia mawakili wake ameitaka mahakama ya ICC kuahirisha kikao walichomuagiza ahudhurie mwezi ujao.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Rais Kenyatta tayari kwenda ICC

Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko radhi kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili.

 

10 years ago

Vijimambo

RAIS KENYATTA AKABIDHI MADARAKA KWA ROTO TAYARI KWENDA ICC

Kenyatta amemkabidhi mamlaka kwa muda naibu wake William Ruto kwa siku mbili atakazokuwa nje. Mahakama ya kimataifa ya ICC, inajianda kuwa mwenyeji wa mkutano maalum wa siku mbili kuhusu kesi ya Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ambaye atakuwa rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama hiyo.Kenyatta anakabiliwa na tuhuma za uhalifu dhidi ya binadamu anazodaiwa kutenda baada ya uchaguzi wa mwaka 2007.Mahakama hiyo inasama kuwa Kenyatta alihusia katika kupanga na kufadhili ghasia za...

 

10 years ago

BBC

Kenyatta in Hague for ICC hearing

Kenyan President Uhuru Kenyatta arrives in The Hague to appear at the International Criminal Court on charges of crimes against humanity.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kenyatta rais wa kwanza ICC

Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amekuwa Rais wa kwanza aliye mamlakani kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC .

 

10 years ago

BBC

ICC ultimatum over Kenyatta trial

The International Criminal Court gives prosecutors an ultimatum to bring a case against Kenya's president or to drop charges of crimes against humanity.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: Kenya's Kenyatta to appear at ICC

Kenyan President Uhuru Kenyatta prepares to appear before the International Criminal Court at The Hague.

 

10 years ago

BBC

ICC readies for Kenyatta appearance

The International Criminal Court is holding the first of two days of hearings in which Kenyan President Uhuru Kenyatta will appear before it.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wabunge kuandamana na Kenyatta ICC

Idadi kubwa ya wabunge nchini Kenya wanajiandaa kuandamana na Rais Uhuru Kenyatta ICC, anakotarajiwa kuhudhuria kikao maalum

 

10 years ago

GPL

RAIS KENYATTA NDANI YA ICC

Rais Kenyatta wakati akiwasili katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague. RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta, leo yupo mbele ya Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) huko The Hague, ambako anakabiliwa na mashtaka ya uhalifu dhidi ya binaadamu. Rais Kenyatta wakati akielekea The Hague jana. Rais…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani