Aung Suu Kyi ataka uchaguzi wa haki
Aliyekuwa mfungwa wa kisiasa na ambaye sasa ni kiongozi wa upinzani nchini Myanmar, Aung San Suu Kyi, ametoa wito kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ufanywe kwa njia ya haki na ukweli.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili13 Dec
Aung San Suu Kyi, aiga mfano wa Magufuli
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Rais wa Myanmar ampongeza bi.Suu Kyi
9 years ago
BBCSwahili06 Dec
Jenerali Shwe 'amuunga mkono' Suu Kyi
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Ushindi wa chama cha Suu Kyi wathibitishwa
9 years ago
BBCSwahili05 Nov
Suu Kyi ahidi kuwa juu ya rais Myanmar
10 years ago
Dewji Blog03 Mar
Mchungaji FPCT Tanzania ataka uchaguzi huru na wa haki
Jengo la kanisa la Free Pentekoste (FPCT) Tanzania tawi la Singida mjini.
Na Nathaniel Limu, Singida
MCHUNGAJI wa Kanisa la Free Pentekoste (FPCT) Tanzania tawi la Mbeya, Ezekiel Kupase,amesema anatamani Rais ajaye awe mkali kidogo na mwenye maaumuzi stahiki yenye lengo la kurejesha maadili, uaminifu, kuondoa ubinafsi na utii wa sheria bila shurti miongoni mwa viongozi Serikalini.
Mchungaji Kupase aliyasema hayo wakati akihubiri kwenye ibada ya kawaida iliyohudhuriwa na waumini wa kanisa...
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Uchaguzi:Tutendeane haki, na tuonekane tunatendeana haki
WATANZANIA, kwa mara nyingine tena, tumeingia katika hamasa ya uchaguzi kwa kishindo, na kila kon
Jenerali Ulimwengu