Uchaguzi:Tutendeane haki, na tuonekane tunatendeana haki
WATANZANIA, kwa mara nyingine tena, tumeingia katika hamasa ya uchaguzi kwa kishindo, na kila kon
Jenerali Ulimwengu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Tume ya Haki za Binadamu, Shirikianeni na TCRA Upatikanaji wa Haki za Mtandao-Waziri Kombo
![](https://1.bp.blogspot.com/-HNxY9xdnu-4/Xujj7WyJA0I/AAAAAAALuIU/6g-ZzRNlvRAeRXEBdkYPz-oWuWIMPFC_QCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-egpneANz2LE/Xujj7WHC6oI/AAAAAAALuIY/634LGgxVMJU23Qi3NVQRxgA5qMJE-5tPgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
11 years ago
Habarileo17 Mar
Wataka Katiba iwe na haki za watetezi wa haki za binadamu
MTANDAO wa watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC), wamewaomba Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuingiza katika rasimu ya Katiba mpya suala la ulinzi na haki za watetezi wa haki za binadamu, wakiwemo waandishi wa habari.
11 years ago
Tanzania Daima19 Dec
Abiria wana haki ya kujua wajibu, haki zao
WATUMIAJI wa huduma za usafiri wa nchi kavu na majini, bado hawajatambua haki na wajibu wao wawapo safarini. Hiyo yote inatokana na kutokufahamu wapi wapeleke malalamiko yao. Lakini makala hii...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s72-c/4-3.jpg)
“Tume ya Haki za Binadamu Ina Jukumu Kubwa la Kulinda Haki za Wanawake na Watotoâ€-BALOZI SEIF
![](https://1.bp.blogspot.com/-VY2tNXw2AwI/XtfulTanrsI/AAAAAAALsjE/Y0mxdMOGILInkFT2_NTXM7f-HoVGQYVjACLcBGAsYHQ/s640/4-3.jpg)
kinachohusu masuala ya haki za binadamu na utawala bora kutoka kwa Mwenyekiti na
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu Mathew Mhina,
Walipomtembelea Ofisini kwake leo Juni 3, 2020 Vuga Mjini Zanzibar.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/6-2.jpg)
Mwenyekiti na Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Jaji Mstaafu
Mathew Mhina, akiteta jambo na Makamu Mwenyekiti, wa Tume ya Haki za Biadamu
na Utawala Bora, Mohamedi Khamis Hamadi, wakati wa ziara yake...
10 years ago
Dewji Blog13 Jun
Tume ya Haki za binadamu, UNESCO wataka jamii kutambua haki za watu wenye Albinism nchini
Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Dkt. Kevin Lothal Mandopi akielezea namna ya tume hiyo ilivyo mstari wa mbele kuelimisha Umma dhidi ya vitendo na ukatili kwa watu wenye Ualbinism nchini kwa wadau na waandishi wa habari (hawapo pichani) jijini Dar es Salaam mapema leo Juni 13.2015.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Tume ya Haki za binadamu na Utawala bora nchini, leo Juni 13,2015, imeungana na watanzania wote kuadhimisha siku ya Kimataifa ya uelimishaji umma kuhusu Ualbino...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s72-c/1-6.jpg)
Wizara ya Katiba na Sheria na Tume ya Haki za Binadamu zina Wajibu wa kulinda haki za wananchi-Jaji Mstaafu Mwaimu
![](https://1.bp.blogspot.com/-k9VaLQL_XnA/XtlI-tokMPI/AAAAAAALspA/PA1UYlDOs_kK07YGKk92raUmgI81WSr4wCLcBGAsYHQ/s640/1-6.jpg)
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibari, Mhe.Khamis Juma Mwalim, akifafanua jambo kwa wajumbe na wageni wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala bora (hawapo pichani) wakiongozwa na Mwenyekiti wa tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu (kushoto) wakati wa kikao kifupi kilichofanyika ofisini kwake baada ya kutembelewa na ugeni huo loe Juni 4, 2020 Mjini...
9 years ago
BBCSwahili13 Oct
EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki
9 years ago
Dewji Blog30 Nov
Tume ya Haki za Binadamu na DIGNITY wafanya semina juu elimu kuhusu haki za binadamu!!
Mwenyekiti wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora, Mhe. Bahame Tom Nyanduga akielezea mambo mbalimbali katika semina hiyo. kulia kwake ni afisa kutoka DIGNITY, Bi. Brenda Van Den Bergh. (Picha zote na Mpiga picha wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora).
Na Rabi Hume,Modewjiblog
Tume ya haki za binadamu na utawala bora ikishirikiana na Taasisi ya haki za binadamu kutoka Denmark (DIGNITY) wamefanya semina inayohusu haki za binadamu kwa kutoa elimu kwa asasi mbalimbali kuhusu...