EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki
Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki
Kiongozi wa upinzani Myanmar Aung San Suu Kyi amesema uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini humo haukuwa huru lakini ulikuwa wa haki.
9 years ago
Mwananchi02 Nov
Malocha: Uchaguzi ulikuwa mgumu
Mbunge mteule wa Jimbo la Kwela (CCM), Ignas Malocha amesema haikuwa kazi rahisi kupata ushindi kutokana na ushindani mkubwa alioupata kutoka kwa mgombea wa Chadema, Daniel Ngogo.
5 years ago
Michuzi28 Feb
Tanzania: Uchaguzi wa mwaka huu utakuwa huru na wa haki, hatukiuki haki za binaadamu ni propaganda tu
![](https://media.parstoday.com/image/4bv515a29aa0bd1kfba_800C450.jpg)
Serikali ya Tanzania kupitia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi imeihakikishia dunia kwamba uchaguzi mkuu ujao, utakuwa huru na wa haki.
Kabudi ameyasema hayo kwenye hafla ya kukaribisha mwaka mpya ambapo amekariri ahadi ya Rais John Pombe Magufuli wa nchi hiyo aliyoitoa akizihakikishia jumuiya za kimataifa kuhusiana na suala hilo. Akizungumza na mabalozi na wawakilishi wa taasisi za kimataifa jijini Dar es Salaam Kabudi amesema: “Mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Uchaguzi:Tutendeane haki, na tuonekane tunatendeana haki
WATANZANIA, kwa mara nyingine tena, tumeingia katika hamasa ya uchaguzi kwa kishindo, na kila kon
Jenerali Ulimwengu
9 years ago
BBCSwahili11 Oct
Uchaguzi Guinea ni leo
Kiongozi wa chama cha upinzani huko Guinea, Cellou Diallo, amewahimiza wafuasi wake kujitokeza kwa wingi kupiga kura leo
9 years ago
BBCSwahili12 Oct
Upinzani wakataa matokeo ya uchaguzi Guinea
Chama kikuu cha upinzani nchini Guinea kimesema hakitakubali matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumapili.
11 years ago
BBCSwahili18 May
Guinea Bissau yafanya Uchaguzi wa pili
Taifa la Magharibi mwa afrika ,Guinea Bissau linafanya awamu ya pili ya uchaguzi wa urais hii leo.
9 years ago
BBCSwahili15 Oct
Upinzani wapinga matokeo ya uchaguzi Guinea
Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Guinea amejiondoa katika uchaguzi uliofanyika nchini humo akisema kuwa kulikuwa na udanganyifu mkubwa
9 years ago
BBCSwahili17 Oct
Uchaguzi Guinea:Alpha Conde aongoza
Matokeo ya duru ya kwanza ya uchaguzi wa urais nchini Guinea yanaonyesha kuwa rais wa sasa Alpha Conde ameshinda kura za kutosha kuzuia kuwepo duru ya pi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania