Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malocha: Uchaguzi ulikuwa mgumu

Mbunge mteule wa Jimbo la Kwela (CCM), Ignas Malocha amesema haikuwa kazi rahisi kupata ushindi kutokana na ushindani mkubwa alioupata kutoka kwa mgombea wa Chadema, Daniel Ngogo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kevin Hart: Mwanzo ulikuwa mgumu kwangu

Kwa hakika usemi wa mwanzo mgumu unaweza kuwa sehemu ya maisha ambayo wamepitia watu wengi ambao wanaonekana kufanikiwa hivi sasa.

 

11 years ago

Mwananchi

JK: Ulikuwa wakati mgumu kuona mwili wa Mandela

 Rais Jakaya Kikwete amesema amepata wakati mgumu alipouona mwili wa Rais wa Kwanza Mzalendo wa Afrika Kusini, alipokwenda kutoa heshima za mwisho kwa kiongozi huyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mbwana Sammatta 'Mchezo ulikuwa mgumu upande wetu'

Sammatta amekiri kuwa Manchester City iliishinda nguvu Aston Villa

 

10 years ago

BBCSwahili

EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki

Wachunguzi wa muungano wa Ulaya wanasema kuwa uchaguzi wa urais nchini Guinea uliofanyika siku ya jumapili ulikuwa wa haki.

 

9 years ago

BBCSwahili

Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki

Kiongozi wa upinzani Myanmar Aung San Suu Kyi amesema uchaguzi mkuu uliofanyika Jumapili nchini humo haukuwa huru lakini ulikuwa wa haki.

 

10 years ago

Mtanzania

Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu

Hussein-BasheNa Odace Rwimo, Nzega

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...

 

10 years ago

Mwananchi

Jaji Mwaikasu: Uchaguzi Mkuu mgumu

Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Raymond Mwaikasu amewataka Watanzania kuacha kutumia kigezo cha rushwa kama sifa ya kuchagua kiongozi wa nafasi ya udiwani,ubunge na urais, huku akitabiri Uchaguzi Mkuu kuwa mgumu.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI MKUU: Mwezi mgumu kwa Lowassa

>Kinyang’anyiro cha kuwania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kitafikia katika hatua ngumu mwezi ujao kitakapochukua uamuzi mgumu dhidi ya baadhi ya makada wake walioonyesha nia ya kuwania urais, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

 

10 years ago

StarTV

Dokta kikwete akiri uchaguzi kuwa mgumu

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Taifa dokta Jakaya Kikwete ameonya kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni mgumu kwa vyama vyote vya siasa na kuhimiza viongozi wa vyama hivyo kuhakikisha wanafanya kampeni za kutosha ili kuwapa nafasi zaidi wananchi kufanya maamuzi sahihi.

Dk.Kikwete ametoa rai hiyo kabla ya kumkabidhi ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CCM mgombea urais anayetetea kiti chake katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar Dokta.Ali Mohammed Shein.

Dokta Kikwete ni miongoni mwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani