Malocha: Uchaguzi ulikuwa mgumu
Mbunge mteule wa Jimbo la Kwela (CCM), Ignas Malocha amesema haikuwa kazi rahisi kupata ushindi kutokana na ushindani mkubwa alioupata kutoka kwa mgombea wa Chadema, Daniel Ngogo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Kevin Hart: Mwanzo ulikuwa mgumu kwangu
11 years ago
Mwananchi13 Dec
JK: Ulikuwa wakati mgumu kuona mwili wa Mandela
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Mbwana Sammatta 'Mchezo ulikuwa mgumu upande wetu'
10 years ago
BBCSwahili13 Oct
EU:Uchaguzi wa Guinea ulikuwa wa haki
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Suu Kyi asema uchaguzi ulikuwa wa haki
10 years ago
Mtanzania27 Aug
Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu
Na Odace Rwimo, Nzega
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Jaji Mwaikasu: Uchaguzi Mkuu mgumu
10 years ago
Mwananchi30 Mar
UCHAGUZI MKUU: Mwezi mgumu kwa Lowassa
10 years ago
StarTV14 Sep
Dokta kikwete akiri uchaguzi kuwa mgumu
Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Taifa dokta Jakaya Kikwete ameonya kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni mgumu kwa vyama vyote vya siasa na kuhimiza viongozi wa vyama hivyo kuhakikisha wanafanya kampeni za kutosha ili kuwapa nafasi zaidi wananchi kufanya maamuzi sahihi.
Dk.Kikwete ametoa rai hiyo kabla ya kumkabidhi ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CCM mgombea urais anayetetea kiti chake katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar Dokta.Ali Mohammed Shein.
Dokta Kikwete ni miongoni mwa...