Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dokta kikwete akiri uchaguzi kuwa mgumu

Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi CCM Taifa dokta Jakaya Kikwete ameonya kuwa uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni mgumu kwa vyama vyote vya siasa na kuhimiza viongozi wa vyama hivyo kuhakikisha wanafanya kampeni za kutosha ili kuwapa nafasi zaidi wananchi kufanya maamuzi sahihi.

Dk.Kikwete ametoa rai hiyo kabla ya kumkabidhi ilani ya uchaguzi ya chama cha mapinduzi CCM mgombea urais anayetetea kiti chake katika uchaguzi mkuu wa Zanzibar Dokta.Ali Mohammed Shein.

Dokta Kikwete ni miongoni mwa...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mtanzania

Bashe: Uchaguzi huu ni mgumu

Hussein-BasheNa Odace Rwimo, Nzega

KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mjumbe wa mkutano mkuu CCM taifa, Hussein Bashe, amewaambia wanachama wenzake kukaza buti kwani uchaguzi wa mwaka huu ni mgumu.
Bashe alisema hayo wakati akizungumza na wanachama wenzake pamoja na waandishi wa habari katika ofisi za chama hicho wilayani Nzega.
Alisema wanaCCM wanatakiwa kutambua kuwa uchaguzi wa mwaka 1995,2000,2005,2010 na huu wa 2015 kuna tofauti kubwa, hivyo wanatakiwa
kujipanga.
Bashe aliyepitishwa na CCM kuwania...

 

9 years ago

Mwananchi

Malocha: Uchaguzi ulikuwa mgumu

Mbunge mteule wa Jimbo la Kwela (CCM), Ignas Malocha amesema haikuwa kazi rahisi kupata ushindi kutokana na ushindani mkubwa alioupata kutoka kwa mgombea wa Chadema, Daniel Ngogo.

 

9 years ago

Mwananchi

Jaji Mwaikasu: Uchaguzi Mkuu mgumu

Jaji mstaafu wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Raymond Mwaikasu amewataka Watanzania kuacha kutumia kigezo cha rushwa kama sifa ya kuchagua kiongozi wa nafasi ya udiwani,ubunge na urais, huku akitabiri Uchaguzi Mkuu kuwa mgumu.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAGUZI MKUU: Mwezi mgumu kwa Lowassa

>Kinyang’anyiro cha kuwania urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kitafikia katika hatua ngumu mwezi ujao kitakapochukua uamuzi mgumu dhidi ya baadhi ya makada wake walioonyesha nia ya kuwania urais, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa.

 

9 years ago

Bongo5

Naj: Ilihitaji moyo mgumu kuwa mpenzi wa Mr Blue (Audio)

12357741_121588221546710_530112732_n

Naj alihitaji kuwa na moyo wa chuma kuweza kuishi kama mpenzi wake wa zamani, Mr Blue.

12357741_121588221546710_530112732_n

Mrembo huyo anadai wakati walipokuwa na uhusiano, Mr Blue alikuwa akisumbuliwa na wasichana usiku na mchana.

“Kama hujiamini unaweza ukaumia sana,” alisema.

“Kwangu mimi zile nilikuwa nazichukulia tu kama kawaida. I was just thinking kwasababu anazipokea [simu] pale mbele yangu, maybe alikuwa anazichagua za kupokea. I was very young,” alikumbushia.

Sikiliza kipindi chote hapo chini.

Jiunge na...

 

11 years ago

Michuzi

CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE

DODOMA,Tanzania
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...

 

11 years ago

Bongo5

Madee adai muziki umekuwa mgumu kutokana na nyimbo kuwa nyingi

Mkali wa ‘Pombe Yangu’, Madee amesema muziki wa sasa ni mgumu kutokana na wasanii kuwa wengi nyimbo nyingi kutoka kwa wakati mmoja. Madee amesema kurundikana kwa nyimbo kunasababisha kuvipa wakati mgumu vituo vya redio na TV kuzipiga kwa wakati stahiki. “Sasa muziki unakuwa mgumu kwa sababu nyimbo zipo nyingi sana,” Madee ameiambia Bongo5. “Yaani kwa […]

 

10 years ago

GPL

DAVIDO AKIRI KUWA NA MTOTO WA KIKE

Mwanamuziki maarufu wa Nigeria, David Adedeji Adeleke 'Davido'. Lagos, Nigeria LICHA ya hapo nyuma kukana kwamba alikuwa anategemea kupata mtoto kutoka kwa mpenzi wake, hatimaye mwanamuziki maarufu wa Nigeria, Davido amekiri kwamba ana mtoto wa kike ambaye amempata nje ya ndoa. Davido akimbusu binti yake. Katika sherehe ya kutegemea kuzaliwa mtoto huyo kutoka kwa Sophie Momodu, mwimbaji huyo alionyesha ushirikiano wote akitaka...

 

9 years ago

BBCSwahili

Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi

Msichana mmoja wa miaka 16 amekiri kutekeleza ugaidi katika mahakama moja ya Manchester nchini Uingereza

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani