Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi
Msichana mmoja wa miaka 16 amekiri kutekeleza ugaidi katika mahakama moja ya Manchester nchini Uingereza
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili06 May
Stuart Hall akiri kumdhalilisha msichana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-bWd1RHoW4Cg/VIhLYxXTmUI/AAAAAAAAN6Y/Mkjhb2eXbKI/s72-c/tumuhwiire.jpg)
MSICHANA WA KAZI ALIYETESA MTOTO AKIRI MAKOSA, KUHUKUMIWA JUMATANO DESEMBA 11, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-bWd1RHoW4Cg/VIhLYxXTmUI/AAAAAAAAN6Y/Mkjhb2eXbKI/s640/tumuhwiire.jpg)
Jolly Tumuhiirwe, mwenye umri wa miaka 22, alifanya ukatili uliochukiwa na watu wote Duniani, ambapo alinaswa na camera ya siri, akimtandika mtoto wa mdosi wake kwa kumkanyaga mgongoni akiwa ameanguka chini, kumchapa na kitu kisichojulikana na kumpiga mateke na makofi ya nguvu usoni.
Kitendo hicho...
9 years ago
BBCSwahili24 Nov
Mvulana aliyetuhumiwa kuwa 'gaidi' adai fidia
9 years ago
Habarileo03 Nov
Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua
MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.
11 years ago
BBCSwahili17 Apr
Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Msichana wa miaka kumi ajilipua Nigeria
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYABj-6AgX2u6GqKJBo8ffsIxxJYadnU4TghZbOHuUv-SvZ3NJaYGr21vj6aMw3nOFf0ftRwKIQmxijTel5800fS/bomb.jpg?width=650)
MSICHANA MIAKA 10 ADAIWA KUJARIBU KUJILIPUA KWA MABOMU AFGHANISTAN
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/a8yJkYxAuz8/default.jpg)
MSICHANA WA MIAKA 21 AUAWA NA MPENZI WAKE KISHA KUMFUKIA CHINI YA KITANDA
Tukio moja lilimeibua hisia kubwa kwa wakazi wa kijiji cha Isyongo kaunti ya nyamira nchini Kenya, baada ya Polisi kufukua maiti ya msichana mmoja Feidhi Omega 21, iliyokuwa imezikwa chini ya uvungu wa kitanda.
Taarifa zinasema kuwa binti huyo alimtembelea mpenzi wake wiki mbili zilizopita lakini hakurudi nyumbani kwao ndipo mama yake alipoanza kumtafuta na kuelekezwa kwa mpenzi wake Daniel Nyabuti, huku akiwa na matumaini ya kumkuta mtoto wake akiwa hai, walipofika nyumbani kwa kijana huyo...
10 years ago
Bongo Movies02 Jun
Mchumba wa Chilole, Nuh Mziwanda Amkana Msichana Aliyedai Kuwa na Mimba Yake
Mchumba wa Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva Zuwena Mohammed ‘Shilole’, Nuh Mziwanda amefunguka baada ya msichana Rose John kudai kuwa ana ujauzito wa miezi miwili wa msanii huyo.
Msichana huyo alizungumza jana kupitia Uheard na Soud Brown ambapo alisema kuwa amekuwa na uhusiano na Nuh kwa miaka miwili lakini walitengana baada ya kusikia ana uhusiano na msanii Shilole na kwamba amechora tatuu ya jina lake.
Niliachana naye baada ya kusikia na uhusiano na Shilole na pia amechora tatuu ya...