Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MSICHANA MIAKA 10 ADAIWA KUJARIBU KUJILIPUA KWA MABOMU AFGHANISTAN

Msichana Spozhmai aliyedai kulazimishwa kuvaa mabomu na kaka yake. MSICHANA  mwenye umri wa miaka 10 aliyejulikana kwa jina mola la Spozhmai, nchini Afghanistan, anayedaiwa kutaka kujilipua kwa mabomu mbele ya kituo cha polisi, amekamatwa. Akizungumza  na waandishi wa habari huko Lashkar Gah,  mji mkuu wa jimbo la Helmand, Spozhmai  alidai kwamba kaka yake ambaye ni kamanda wa wapiganaji wa Taliban alimlazimisha...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua

MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.

 

11 years ago

BBCSwahili

Msichana aliyeteswa kinyama kwa miaka 9

Polisi nchini Argentina wamemwokoa msichana mwenye umri wa miaka 15 ambaye alifungiwa katika eneo la kuegesha magari na kunyimwa chakula pamoja na kupigwa kwa miaka tisa.

 

9 years ago

StarTV

Msichana miaka 18 mbaroni kwa kushawishi watoto na kufanya Biashara Ya Ngono Singida

Msichana mmoja mwenye umri wa miaka 18 anashikiliwa na Polisi mkoani Singida kwa tuhuma za kuwashawishi watoto wa kike na kuwafanyisha biashara ya ngono kwa ujira wa kati ya shilingi 3,000 na 5,000 suala ambalo ni kinyume cha sheria, ukatili na ukiukaji wa misingi ya haki za binadamu.

Mtuhumiwa huyo Mastura Saidi mkazi wa Karakana Mjini Singida amekamatwa Jumatatu hii majira ya saa mbili usiku baada ya watoto watatu mwenye umri kati ya miaka 12 na 15 kukutwa ndani ya chumba chake wakiwa na...

 

9 years ago

BBCSwahili

Mvulana wa miaka 11 adaiwa kuua kwa sababu ya mbwa

Mvulana wa umri wa miaka 11 anazuiliwa Tennessee, Marekani akituhumiwa kumuua msichana wa jirani baada ya mzozo kuhusu kitoto cha mbwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Tajiri adaiwa kumng’ata, kumchoma pasi mtumishi wake kwa miaka mitatu

Mfanyakazi wa ndani, Yusta Lucas (20) amekumbana na masahibu yanayofanana na yale ya mtoto Nasra Mvungi (4) aliyekuwa amefungiwa kwenye boksi kwa miaka karibu minne huko Morogoro. Huyu amelazwa katika Hospitali ya Mwananyamala, Dar es Salaam akiuguza majeraha yanayotokana na kuteswa na kufungiwa ndani kwa miaka mitatu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msichana wa miaka 16 akiri kuwa gaidi

Msichana mmoja wa miaka 16 amekiri kutekeleza ugaidi katika mahakama moja ya Manchester nchini Uingereza

 

10 years ago

BBCSwahili

Msichana wa miaka kumi ajilipua Nigeria

Mlipuaji wa kujitolea muhanga amejilipua katika soko moja katika mji wa kazkazini mashariki wa Maiduguri nchini Nigeria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mtoto wa miaka 3 abakwa Afghanistan

Mtoto Neelofar yuko katika hali mahututi, baada ya kubakwa na anahitaji matibabu ambayo anaweza kupokea tu hospitalini.

 

10 years ago

Vijimambo

MSICHANA WA MIAKA 21 AUAWA NA MPENZI WAKE KISHA KUMFUKIA CHINI YA KITANDA





Tukio moja lilimeibua hisia kubwa kwa wakazi wa kijiji cha Isyongo kaunti ya nyamira nchini Kenya, baada ya Polisi kufukua maiti ya msichana mmoja Feidhi Omega 21, iliyokuwa imezikwa chini ya uvungu wa kitanda.

Taarifa zinasema kuwa binti huyo alimtembelea mpenzi wake wiki mbili zilizopita lakini hakurudi nyumbani kwao ndipo mama yake alipoanza kumtafuta na kuelekezwa kwa mpenzi wake Daniel Nyabuti, huku akiwa na matumaini ya kumkuta mtoto wake akiwa hai, walipofika nyumbani kwa kijana huyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani