Mvulana wa miaka 11 adaiwa kuua kwa sababu ya mbwa
Mvulana wa umri wa miaka 11 anazuiliwa Tennessee, Marekani akituhumiwa kumuua msichana wa jirani baada ya mzozo kuhusu kitoto cha mbwa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania05 Jan
Polisi mwingine adaiwa kuua kwa fimbo
NA BENJAMIN MASESE, MWANZA
ASKARI wa Jeshi la Polisi mkoani Mwanza, PC Joel Francis (41) mwenye namba F.4965 anadaiwa kumpiga Donald Magalata (30) kwa fimbo na kumsababishia kifo.
Tukio hilo limetokea ikiwa ni wiki moja imepita,baada ya askari mwingine mkoani hapa Dau Elisha mwenye namba H 852 PC wa kituo cha Nyamagana kumuua askari mwenzake PC Petro Matiko wenye namba H 5950 kwa risasi na baadaye kujipiga risasi kichwani na kufariki dunia papo hapo.
Akizungumza na...
11 years ago
Mwananchi02 Jan
Ofisa wa jeshi adaiwa kuua watu kwa risasi
9 years ago
Habarileo03 Nov
Msichana miaka 15 jela miaka 8 kwa kuua
MSICHANA wa miaka 15 (jina limehifadhiwa) amehukumiwa na Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kifungo cha miaka minane jela.
9 years ago
StarTV21 Sep
Mtoto wa miaka 7 afariki kwa kuliwa na mbwa Mwanza
Wakazi wa eneo la Malimbe wilayani Nyamagana jijini Mwanza wameingiwa na taharuki baada ya mtoto mwenye umri wa miaka 7 kupoteza maisha kwa kuraruriwa na kuliwa na kundi la mbwa waliokuwa wakizagaa mtaani.
Tukio hilo limetokea Septemba 19 majira ya saa 5 asubuhi wakati mtoto huyo akielekea dukani ambapo vilisababisha taharuki kibwa miongoni mwa wakazi wa mwanzaambalo limekuwa ni geni na halijawahi kutokea kwa wengi waliolishuhudia.
Mtoto Jovina Lwegasira ambaye alikuwa anasoma elimu ya...
5 years ago
BBCSwahili06 May
Virusi vya corona: Mvulana wa miaka 9 avumbua njia ya kupunguza maambukizi Kenya
10 years ago
Habarileo19 Aug
Mume adaiwa kuua mkewe
MWANAMKE mkazi wa kijiji cha Tuombemungu Kata ya Ugunga wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, Mawazo Saidi, ameuawa kikatili.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYAij3KOrIYbWE-imETQ*8lhlzz1P0daeIggMzA2HbQfj3SZEBRs7D-8vM2yEvW6evbTmFW2J3bnULfPKQd29pFk/meja.jpg?width=650)
MEJA JWTZ ADAIWA KUUA MADENTI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NFpLPbeZNYABj-6AgX2u6GqKJBo8ffsIxxJYadnU4TghZbOHuUv-SvZ3NJaYGr21vj6aMw3nOFf0ftRwKIQmxijTel5800fS/bomb.jpg?width=650)
MSICHANA MIAKA 10 ADAIWA KUJARIBU KUJILIPUA KWA MABOMU AFGHANISTAN
11 years ago
Mwananchi01 Jul
Mfanyakazi wa ndani adaiwa kuua mwajiri wake